Emirates yafanya maajabu uwanja wa ndege dar es salaam

Emirates yafanya maajabu uwanja wa ndege dar es salaam

Wote mmejitahidi sn kutoa majibu ambayo yanaelekeana na ukweli.
Lakini kwa kufupisha mambo, kuna sbb nyingi zinazoweza kupelekea ndege kuoveshoot km ifuatavyo:
1.Uwepo wa mnyama au ndege kwny njia ya kutua na kuruka ndege(wenyewe wanaita Wildlife Hazard).

2. Kuwepo kwa foreign object au debri yoyote kwenye njia hiyo.

3.Mabadiliko ya ghafla ya upepo. Kawaida kila bada ya dakika 30 mtu wa Met anatakiwa kupeleka weather report inayoitwa 'meter'kwa air traffic controllers ili nao wawasomee marubani. Lakini within 30min kunaweza kutokea sudden change zitakazosababisha crosswind kali hadi kumfanya pilot arudi juu ili akaistabilize ndege kwa buttons za ziada.
Pia hapa kuna kipimo sensitive sana cha mgandamizo wa hewa ambacho ndicho kinaifanya ndege inayotua ijue iko umbali gani toka tairi lake hadi kwenye lami. Ni mambo mengi complex kidogo hapa.

4.Priority- huwa kuna Priority ya kutua nyakati fulani. Imagine ndege ya kawaida km Emirates inaongozana na Tanzania One ya Kikwete, huku ya JK ikiwa nyuma, kwa sheria za Aviation lazima VIP wa level ya Rais apewe priority kwanza kabla ya raia mwingine.
Pia kuna Priority inayotolewa kwa ndege kubwa vs ndogo kwenye kutua, coz the larger the equipment the larger the risk associated.

5.Ni mara nyingi tu ambapo pilot akihisi ana pancha kwenye tairi atashusha ndege hadi kwenye level ya jengo la control tower ili wamsaidie kuangalia, then anaovershoot.

5. N.kadhalika.

Ila nina shaka kidogo na mleta mada kama ni ukweli kuwa ndege hiyo ilishuka hadi kugusa pavement ya runway. Hakuna kitu cha hivo.
Ndege kubwa jamii ya Boeing au Airbus haiwezi kabisa kugusa runway na kunyenyuka ikiwa salama kutokana na uzito wake. Kitendo cha kugusa tu ile njia kinapunguza sana kasi ya ndege na haiwezi kunyenyuka ghafla.
Ntakubali km atasema ilishuka chini sn, lkn si touchdown.

Pia naomba nimrekebishe mdau mmoja aliyesema kuwa huenda pilot hakuiweka ndege sawasawa kwenye center-line ya runway.
Kwa kiwanja kikubwa kama Jnia kina maneno inaitwa Instrument Landing System(ILS) ambapo pilot akifika umbali fulani jirani na kiwanja anawasha radios fulani ndani ya ndege ambazo zinawasiliana na antenna zilizopo mwanzoni mwa njia ya kutua(localizer), na ndizo zinazoiposition ndege itue kwenye msitari wake tu, bila kosa hata la mm 1!

Ni mambo mengi lakini kwa ufupi hatuwezi kujua ninini kilimfanya rubani wa ndege hiyo airudishe ndege juu, lakini lazima aliwasiliana na tower, maana hawezi kufanya jambo la hatari hivyo bila reporting, ambapo hata controller aliyepo zamu analog incidence hiyo kwenye logbooks zake.

Huenda maelezo yangu yatawasaidia baadhi ya watu wanaosema ni kitendo cha kawaida' tu! Kitaalamu tunasema kuwa 90% ya ajali za ndege hutokea ndani au jirani kabisa ya kiwanja(within,or in the vicinity of the Airport), kwa maana kwamba uwezekano wa rubani kufanya makosa zaidi upo kwenye kitendo cha kuruka na kutua.
Kupandisha juu ndege iliyokuwa inatua inamaanisha kuactivate kwa ghafla systems zote zilizokuwa tayari zinaslow down, kwahiyo ndege inaweza kukubali au kukataa.

Mimi najua kuwa si kawaida unless kama pilots wako mafunzoni, but si ndege ikiwa na abiria 300, over the dead body!!!

Duh! Mkuu nimekukubali kwa shule nzuri.Hongera sana!
 
Ni kawaida sana haa kwa rubani mgeni, kutojua vipimo vya ujwanja, ground settings and kunapotokea change in wind direction or strength. Iko dunia nzima hiyo ni salama sana
Mkuu,
Nijuavyo mimi ni kwamba pilot hata akiwa mgeni namna gani, huwa hawezi kufanya kosa la aibu namna hii!
Kumbuka kuna kitabu kinachoitwa AIP ambacho ni lazima pilot mgeni akisome kabla ya kwenda kwenye kiwanja cha ugenini, na pia kuna Briefing Office kwenye viwanja vyote vikubwa ambapo ni lazima kila Pilot aingie hapo kupata maelekezo ya anapoenda ikiwa ni pamoja na kupewa weather report na kufile flight plan.
Anyway, percentage fulani ya error inaruhusiwa kwa binadamu yeyote.
 
Mkuu,
Nijuavyo mimi ni kwamba pilot hata akiwa mgeni namna gani, huwa hawezi kufanya kosa la aibu namna hii!
Kumbuka kuna kitabu kinachoitwa AIP ambacho ni lazima pilot mgeni akisome kabla ya kwenda kwenye kiwanja cha ugenini, na pia kuna Briefing Office kwenye viwanja vyote vikubwa ambapo ni lazima kila Pilot aingie hapo kupata maelekezo ya anapoenda ikiwa ni pamoja na kupewa weather report na kufile flight plan.
Anyway, percentage fulani ya error inaruhusiwa kwa binadamu yeyote.

Hivi ndege wanaendesha au wanarusha?
 
itabidi na mimi niende uwanja wa ndege maana kila siku naoita nje tu kwenda zangu kisarawe....
 
Sisi wataalamu tunaita MISSED APPROACH
is a procedure followed by a pilot when an instrument approach cannot be completed to a full-stop landing.
Mabulangati Nakubaliana kabisa na HUNIJUI na kuna Real Video ya Lufthansa
Airbus A320 Lufthansa nearly crashed during crosswind approach - YouTube
Missed Approach | Flying Magazine
In aviation we have always embraced ..........I guess a rejected landing would be one abandoned at the last minute and an abort would come after the wheels have touched down. Whatever, the decision-making becomes critical when things are not going well during the approach and landing phase of flight.
Missed approach is a procedure followed by a pilot when an instrument approach cannot be completed to a full-stop landing.[SUP][1][/SUP] The instructions for the missed approach may be assigned by ATC prior to the clearance for the approach. If ATC has not issued specific instructions prior to the approach and a missed approach is executed, the pilot must follow the (default) missed approach procedure specified for the approach. Prior to commencing the approach, if the pilot believes that a missed approach may occur,
Katika wote bado naamini Elimu iliyofunguliwa na HUNIJUI
 
Last edited by a moderator:
Pia kama speed aliyotua nayo haimruhusu kusimama huwa anapaa tena, landing speed in 250 kph, zaidi ya hapo runway haitoshi, na runway ya DIA siyo ndefu sana ikilinganishwa na runway zingine duniani.
 
Nahisi speed ilikuwa kali. Ila kumbuka (usiache kupanda ndege lakini) asilimia 90 ya ajali za ndege ni wakati wa kupaa au kutua. Viwanja vingine ukichelewa kutua unapigwa faini kwa kusababisha foleni. Kuna siku nilikuwa naenda mahali na airbus tuliwahi ilibidi tupihe misele angani kwanza ila hawakurudia round ya viburudisho
 
Mada nimeiona very late.
Kwa ujumla wachangiaji hasa Pakajimmy anajua nini anachozungumza. Nadhani ni rubani.
However, it is possible to make an "aborted landing" kabla ya matairi kugusa runway.
Lakini ndege kubwa kama 777 ya Emirates inachukua vijisekunde kadhaa kubadili mwelekeo na kuongeza mwendo baada ya maamuzi ya kuongeza "thrust"--- yaani kuongeza mafuta kwenye engine----
Vijisekunde hivyo vya kuchelewa, huweza kufanya matairi yaguse runway kabla ya kupaa tena.
Sababu halisi ya uamuzi wa ku abort landing ni uamuzi wa marubani.
 
Mi ilishawahi kutokea wakati tupo kwenye ABOOD tunaelekea MORO ile kufika MSAMVU dereva akanyoosha njia ya DODOMA kuuliza Konda anadai pale STENDI noma kuna TRAFFIC waliyemkimbia asubuhi.
 
Mdau Mabulangati, hilo ni jambo la kawaida, hata mimi limeshawahi nitokea na rubani alisema ni tatizo la upepo. Ndege zina kifaa cha kupimia upepo wa chini (ground wind flow) ila sometimes due to several reasons hua hakipimi sawasawa mpaka pale ndege inapofika chini ndio rubani anagundua upepo ni mkali na si salama kwa ndege kutua in that direction so hua wanarudi angani na kubadilisha direction ya kutua then wanatua in different direction ila pia inategemeana na uzito wa ndege wakati huo.

We jamaa unakaribiana na mawazo ya ki injinia
 
Mi ilishawahi kutokea wakati tupo kwenye ABOOD tunaelekea MORO ile kufika MSAMVU dereva akanyoosha njia ya DODOMA kuuliza Konda anadai pale STENDI noma kuna TRAFFIC waliyemkimbia asubuhi.

We jamaaa,hufai nimecheka mpk basi
 
Pia emergncy landing inasababisha ndege ya kwanza iliopewa ruhusa ku tua ikapewa amri ya kurruka tena ili kuipisha ndege nyengne kutua ilio request may day

Mhhhh may day.....
 
Wote mmejitahidi sn kutoa majibu ambayo yanaelekeana na ukweli.
Lakini kwa kufupisha mambo, kuna sbb nyingi zinazoweza kupelekea ndege kuoveshoot km ifuatavyo:
1.Uwepo wa mnyama au ndege kwny njia ya kutua na kuruka ndege(wenyewe wanaita Wildlife Hazard).

2. Kuwepo kwa foreign object au debri yoyote kwenye njia hiyo.

3.Mabadiliko ya ghafla ya upepo. Kawaida kila bada ya dakika 30 mtu wa Met anatakiwa kupeleka weather report inayoitwa 'meter'kwa air traffic controllers ili nao wawasomee marubani. Lakini within 30min kunaweza kutokea sudden change zitakazosababisha crosswind kali hadi kumfanya pilot arudi juu ili akaistabilize ndege kwa buttons za ziada.
Pia hapa kuna kipimo sensitive sana cha mgandamizo wa hewa ambacho ndicho kinaifanya ndege inayotua ijue iko umbali gani toka tairi lake hadi kwenye lami. Ni mambo mengi complex kidogo hapa.

4.Priority- huwa kuna Priority ya kutua nyakati fulani. Imagine ndege ya kawaida km Emirates inaongozana na Tanzania One ya Kikwete, huku ya JK ikiwa nyuma, kwa sheria za Aviation lazima VIP wa level ya Rais apewe priority kwanza kabla ya raia mwingine.
Pia kuna Priority inayotolewa kwa ndege kubwa vs ndogo kwenye kutua, coz the larger the equipment the larger the risk associated.

5.Ni mara nyingi tu ambapo pilot akihisi ana pancha kwenye tairi atashusha ndege hadi kwenye level ya jengo la control tower ili wamsaidie kuangalia, then anaovershoot.

5. N.kadhalika.

Ila nina shaka kidogo na mleta mada kama ni ukweli kuwa ndege hiyo ilishuka hadi kugusa pavement ya runway. Hakuna kitu cha hivo.
Ndege kubwa jamii ya Boeing au Airbus haiwezi kabisa kugusa runway na kunyenyuka ikiwa salama kutokana na uzito wake. Kitendo cha kugusa tu ile njia kinapunguza sana kasi ya ndege na haiwezi kunyenyuka ghafla.
Ntakubali km atasema ilishuka chini sn, lkn si touchdown.

Pia naomba nimrekebishe mdau mmoja aliyesema kuwa huenda pilot hakuiweka ndege sawasawa kwenye center-line ya runway.
Kwa kiwanja kikubwa kama Jnia kina maneno inaitwa Instrument Landing System(ILS) ambapo pilot akifika umbali fulani jirani na kiwanja anawasha radios fulani ndani ya ndege ambazo zinawasiliana na antenna zilizopo mwanzoni mwa njia ya kutua(localizer), na ndizo zinazoiposition ndege itue kwenye msitari wake tu, bila kosa hata la mm 1!

Ni mambo mengi lakini kwa ufupi hatuwezi kujua ninini kilimfanya rubani wa ndege hiyo airudishe ndege juu, lakini lazima aliwasiliana na tower, maana hawezi kufanya jambo la hatari hivyo bila reporting, ambapo hata controller aliyepo zamu analog incidence hiyo kwenye logbooks zake.

Huenda maelezo yangu yatawasaidia baadhi ya watu wanaosema ni kitendo cha kawaida' tu! Kitaalamu tunasema kuwa 90% ya ajali za ndege hutokea ndani au jirani kabisa ya kiwanja(within,or in the vicinity of the Airport), kwa maana kwamba uwezekano wa rubani kufanya makosa zaidi upo kwenye kitendo cha kuruka na kutua.
Kupandisha juu ndege iliyokuwa inatua inamaanisha kuactivate kwa ghafla systems zote zilizokuwa tayari zinaslow down, kwahiyo ndege inaweza kukubali au kukataa.

Mimi najua kuwa si kawaida unless kama pilots wako mafunzoni, but si ndege ikiwa na abiria 300, over the dead body!!!

Hongera saaaan mkuu,elimu nimeipokea
 
Mabulangati Nakubaliana kabisa na HUNIJUI na kuna Real Video ya Lufthansa
Airbus A320 Lufthansa nearly crashed during crosswind approach - YouTube
Missed Approach | Flying Magazine

Missed approach is a procedure followed by a pilot when an instrument approach cannot be completed to a full-stop landing.[SUP][1][/SUP] The instructions for the missed approach may be assigned by ATC prior to the clearance for the approach. If ATC has not issued specific instructions prior to the approach and a missed approach is executed, the pilot must follow the (default) missed approach procedure specified for the approach. Prior to commencing the approach, if the pilot believes that a missed approach may occur,
Katika wote bado naamini Elimu iliyofunguliwa na HUNIJUI

Mungu akubariki kwa elimu
 
Last edited by a moderator:
4.Priority- huwa kuna Priority ya kutua nyakati fulani. Imagine ndege ya kawaida km Emirates inaongozana na Tanzania One ya Kikwete, huku ya JK ikiwa nyuma, kwa sheria za Aviation lazima VIP wa level ya Rais apewe priority kwanza kabla ya raia mwingine.

Pia kuna Priority inayotolewa kwa ndege kubwa vs ndogo kwenye kutua, coz the larger the equipment the larger the risk associated.


Huenda maelezo yangu yatawasaidia baadhi ya watu wanaosema ni kitendo cha kawaida' tu! Kitaalamu tunasema kuwa 90% ya ajali za ndege hutokea ndani au jirani kabisa ya kiwanja(within,or in the vicinity of the Airport), kwa maana kwamba uwezekano wa rubani kufanya makosa zaidi upo kwenye kitendo cha kuruka na kutua.
Kupandisha juu ndege iliyokuwa inatua inamaanisha kuactivate kwa ghafla systems zote zilizokuwa tayari zinaslow down, kwahiyo ndege inaweza kukubali au kukataa.

Mimi najua kuwa si kawaida unless kama pilots wako mafunzoni, but si ndege ikiwa na abiria 300, over the dead body!!!

Afadhali tumekua pamoja mkuu, hapo kwenye red nadhani hata kama ni ndege ya raisi huyo rubani wa raisi nae si anawasiliana na watu wa contol? kiasi kwamba wanaweza kuwasiliana na ndege nyingine isitue kabla ya kufikia hicho kiwango tunachoelezwa na mleta mada, any way kuna makosa ya kibinadam huenda kuna mtu hakufanya kazi yake ipasavyo.

Hapo kwenye blue tuko pamoja mkuu.

All in all, wote tunajaribu tu kukisia ni kitu gani kilisababisha tukio hilo ambalo bado naliita sio la kawaida litokee!!!...
 
Mi ilishawahi kutokea wakati tupo kwenye ABOOD tunaelekea MORO ile kufika MSAMVU dereva akanyoosha njia ya DODOMA kuuliza Konda anadai pale STENDI noma kuna TRAFFIC waliyemkimbia asubuhi.

Mkuu kidogo univunje mbavu...hahaaaa
 
Mkuu,
Nijuavyo mimi ni kwamba pilot hata akiwa mgeni namna gani, huwa hawezi kufanya kosa la aibu namna hii!
Kumbuka kuna kitabu kinachoitwa AIP ambacho ni lazima pilot mgeni akisome kabla ya kwenda kwenye kiwanja cha ugenini, na pia kuna Briefing Office kwenye viwanja vyote vikubwa ambapo ni lazima kila Pilot aingie hapo kupata maelekezo ya anapoenda ikiwa ni pamoja na kupewa weather report na kufile flight plan.
Anyway, percentage fulani ya error inaruhusiwa kwa binadamu yeyote.

Mimi nilipanda Quntas Boeing 747 Hongkong-Brisane kupitia Manila. Pale Manila ndege ikitua ilikanyaga runway na baadaye kupaa papo hapo! Tuliambiwa kulikuwa na foreign object 400 meters away na ikalazimisha kurudi hewani. Tulishuka baadaye after 2 hours
 
Back
Top Bottom