Emma Lwaitama Nyerere: Kisababishi kilichojificha katika sakata la Madaraka na Steve Nyerere?

Emma Lwaitama Nyerere: Kisababishi kilichojificha katika sakata la Madaraka na Steve Nyerere?

shida kubwa sio kwanini madaraka analalamika sasa,bali ni je ni halali mtu asiye mtoto wa nyerere kulitumia jina hilo kama ubini wake.Hoja kubwa pia ni kwamba huyo steve nyerere popote anapopiga simu kuomba msaada anapokelewa haraka na kupewa kila aina ya msaada,kwa c/o ya ubini wa nyerere wakati akipiga simu madaraka ambae ndio mtoto wa nyerere watu hao hao hawapokei simu yake.Na mama maria hawapi watoto wake hata senti tano
Kwahiyo hao kina Madaraka na uzee wao huo wanaomba hela kwa mama yao?
 
Kama Yeriko Nyerere anatumia jina Mwalimu ebu tutajie ubini wake halisi unaoujua wewe.
Kuna kitabu alishinda tuzo kinahusu masuala ya ujasusi wa kidola na kiuchumi ilikua DW walimpigia simu wakaongea nae kumpongeza, sasa kwenye mahojiano ndio akajitaja jina lake kamili na ubini wake halisi ila Nyerere kwenye majina yake halipo alipokua anahojiwa alielezea baadhi ya mambo alipotoka na anapoeleka ila kibaya Jina lake linabeba na jina la Nyerere kwenye ubini yaan ubini wake uliopo kwenye vyeti vyake vya primary kauchimbia wapi sijui
 
Yaani Emma hadi anaogopa kutumia jina la ubini la Lwaitama

Mzee Lwaitama ajitathmini .Mimi huwa nikimsikiliza huwa naona kama yule mzee mwehu

Nafikiri Emma asaifiwe tu kisaikolojia kuwa atumie tu huo ubini baba yake mwehu lakini ndio hivyo tena hawezi kuwa na baba mwingine huyo ndie baba yake atumie tu ubini wa Lwaitama hivyo hivyo itasaidia pia jamii kujua kuwa sio akina Lwaitama wote wehu yeye zimo kichwani.Itasaidia kusafisha jina bovu la Lwaitama
Yaani mtu akiwa radical anageuka anaitwa mwehu? Mara nyingi watu wenye akili nyingi sana na wakawa radicals wanakuwa wanaonekana kama wehu mfano Huyu Tundu Lissu.
Unapokuwa na akili nyingi jamii wakati mwingine haikuelewi na ndio maana wana falsafa wengi wanapokufa ndio baadae watu wanawaelewa mfano Plato na Aristotle.
Hivi unajua hata yule nanilino aliyetangulia mbele za haki alikuwa kidogo na wehu na ndio maana alikuwa na akili nyingi kupindukia.
"Ukiona mtaa unaoishi hakuna mwehu jitathimini huenda unaweza kuwa wewe".....mwisho wa kunukuu
Hii nukuu sikuambii wewe nimeichukua kutoka kwa Signature ya mmoja wa member wetu wa JF naikubali sana hii signature
 
Kuna kitabu alishinda tuzo kinahusu masuala ya ujasusi wa kidola na kiuchumi ilikua DW walimpigia simu wakaongea nae kumpongeza, sasa kwenye mahojiano ndio akajitaja jina lake kamili na ubini wake halisi ila Nyerere kwenye majina yake halipo alipokua anahojiwa alielezea baadhi ya mambo alipotoka na anapoeleka ila kibaya Jina lake linabeba na jina la Nyerere kwenye ubini yaan ubini wake uliopo kwenye vyeti vyake vya primary kauchimbia wapi sijui
Umeleta ngonjera kibao na bado umeshindwa kujibu,ebu ondoeni dhana kwamba kila anayeitwa Nyerere basi anatumia jina la Nyerere tunayemuita Baba wa Taifa
 
Umeleta ngonjera kibao na bado umeshindwa kujibu,ebu ondoeni dhana kwamba kila anayeitwa Nyerere basi anatumia jina la Nyerere tunayemuita Baba wa Taifa
Sio ngonjera waambie hao wanaotumia Jina la Nyerere km ubini wao kupiga Pesa wafute huo ubini watumie ubini wao, sijui unaelewa?
 
Ni wivu tu,Madaraka kashindwa kutumia jina la baba yake kupiga hela sasa anaonea wivu vijana
 
Umeleta ngonjera kibao na bado umeshindwa kujibu,ebu ondoeni dhana kwamba kila anayeitwa Nyerere basi anatumia jina la Nyerere tunayemuita Baba wa Taifa
Halafu mboni umeuliza kwa nia njema ukajibiwa vizuri ila umekuja kwa jaziba, Yeriko anaitwa Yeriko Yohanesy ila mwishoni kaongeza Nyerere Yeriko ni mzaliwa wa Iringa sio Butiama kwa hio hawezi kua na ubini wa Nyerere yeye sio Mzanaki ni aidha Mbena au Mhehe
 
Wewe ndiye mwehu. Lwaitama ni maana halisi ya mzalendo. Hana makuu, hana tamaa ya madaraka wala mali. Mliozoea vya kunyonga lazima umuone mwehu.
Kamuulize Lwaitama kama sio mwehu kwa nini ndege ya pressicion air walishawahi kumshusha kwenye ndege kabla ya kuruka kwa nguvu
 
Naona sasa kunazuka katabia ka watu flani kuona jina flani ni haki yao kulitumia.Ukiona pombe aina ya bia zote zinaitwa bia ila kilicho ndani ni tofauti.Mfano bia aina ya Safari inaitwa bia ila hata bia aina ya Castel lite na yenyewe inaitwa bia.Ila vilivyopo ndani vyote ni bia ila kiuhalisia bia iliyopo ndani ya chupa ya safari sio bia iliyo ndani ya Castel lite.Hivyo bia ya Safari haiwezi kulalamika kwamba kwanini Castle lite nayo inaitwa bia.

Naona U-Nyerere mnataka kuugeuza kama special issue sana zaidi ya unabii.Hata manabii wenyewe mfano Selemani wapo wanaotumia jina hili lakini kiuhalisia ukiitwa Selemani haina maana you are a real Selemani.

Dini ya kiislam yenyewe wako wanaitwa Mohamed na watu wanatumia hilo jina sembuse Nyerere?
Narudia tena na tena jina halina hati miliki natamani Kibatala na Mwabukusi waingilie kati hapa lakini wao wana deal na mambo makubwa sio vitu vidogo kama hivi
 
Ni wivu tu,Madaraka kashindwa kutumia jina la baba yake kupiga hela sasa anaonea wivu vijana
Hata ningekua Mimi unatembelea upepo wa Mzee wangu lazima nikutoe kwenye reli acheni kua na roho za kimasikini tumieni ubini wa koo zenu zinazowahusu mlizozaliwa nazo mkakua nazo msianze kumtafuta mchawi baada ya kutumia majina ya ubini wenu si ubini wenu kwanini msipige hela kupitia ubini wenu asilia
 
Kamuulize Lwaitama kama sio mwehu kwa nini ndege ya pressicion air walishawahi kumshusha kwenye ndege kabla ya kuruka kwa nguvu
Siku moja nilikataliwa kusafiri kwenye ndege sababu nililewa sana wakaona naweza leta shida angani maana ilikuwa ndege ndogo haina choo hiyo haimaninishi kuwa mimi ni mwehu
 
Naona sasa kunazuka katabia ka watu flani kuona jina flani ni haki yao kulitumia.Ukiona pombe aina ya bia zote zinaitwa bia ila kilicho ndani ni tofauti.Mfano bia aina ya Safari inaitwa bia ila hata bia aina ya Castel lite na yenyewe inaitwa bia.Ila vilivyopo ndani vyote ni bia ila kiuhalisia bia iliyopo ndani ya chupa ya safari sio bia iliyo ndani ya Castel lite.Hivyo bia ya Safari haiwezi kulalamika kwamba kwanini Castle lite nayo inaitwa bia.

Naona U-Nyerere mnataka kuugeuza kama special issue sana zaidi ya unabii.Hata manabii wenyewe mfano Selemani wapo wanaotumia jina hili lakini kiuhalisia ukiitwa Selemani haina maana you are a real Selemani.

Dini ya kiislam yenyewe wako wanaitwa Mohamed na watu wanatumia hilo jina sembuse Nyerere?
Narudia tena na tena jina halina hati miliki natamani Kibatala na Mwabukusi waingilie kati hapa lakini wao wana deal na mambo makubwa sio vitu vidogo kama hivi
Hahaha tumieni ubini wenu kupiga Pesa mnang'ang'ania bini za watu ili iweje nyinyi hamna bini zenu, kuna sehemu ushawahi ona mtu anang'ang'ana kuitwa yeye ni Yesu?
 
Naona sasa kunazuka katabia ka watu flani kuona jina flani ni haki yao kulitumia.Ukiona pombe aina ya bia zote zinaitwa bia ila kilicho ndani ni tofauti.Mfano bia aina ya Safari inaitwa bia ila hata bia aina ya Castel lite na yenyewe inaitwa bia.Ila vilivyopo ndani vyote ni bia ila kiuhalisia bia iliyopo ndani ya chupa ya safari sio bia iliyo ndani ya Castel lite.Hivyo bia ya Safari haiwezi kulalamika kwamba kwanini Castle lite nayo inaitwa bia.

Naona U-Nyerere mnataka kuugeuza kama special issue sana zaidi ya unabii.Hata manabii wenyewe mfano Selemani wapo wanaotumia jina hili lakini kiuhalisia ukiitwa Selemani haina maana you are a real Selemani.

Dini ya kiislam yenyewe wako wanaitwa Mohamed na watu wanatumia hilo jina sembuse Nyerere?
Narudia tena na tena jina halina hati miliki natamani Kibatala na Mwabukusi waingilie kati hapa lakini wao wana deal na mambo makubwa sio vitu vidogo kama hivi
Inferiority complex

Tumia ubini wako kama brand ya jina iako
Kama ubini wako brand name yako unaoba iko chini inyanyue kwa kufanya makubwa
Utakuwa ubini unaoheshimika kimataifa kama ubini wa wajaluo wa Obama haukujiita Nyerere iki ujulikane duniani walibaki na ubini wao Obama hadi ukatoa Raisi wa Marekani sasa hivi huo ubini ni brand kubwa duniani

Kila ubini ujenge brand yake sio kuparamia za wengine
 
Hahaha tumieni ubini wenu kupiga Pesa mnang'ang'ania bini za watu ili iweje nyinyi hamna bini zenu, kuna sehemu ushawahi ona mtu anang'ang'ana kuitwa yeye ni Yesu?
Kuanzia leo nitaitwa Ambivert90 nikipiga hela utalalamika?
Kuhusu YESU ni utaratibu tu wa dini ya Kikristo ajili ya kifungu kutolitaja jina la bwana wako bure ila wapo watu wanaitwa Akayesu.
Kwa waislam hii sio issue kwanza ni sifa
Hata MUNGU wapo watu wanaitwa Munguatosha.
 
Jina Nyerere sio Brand na wala halina hiyo unayoita 'hatimiliki'.

Kuna watu huwapa watoto wao majina ya watawala au matukio makubwa ya wakati huo, kuna kina Nyerere wengi tu waliozaliwa kipindi cha uhuru.

Makongoro Nyerere naye alipie hilo jina?
Wangepewa jina la Nyerere at birth sidhani kama Madaraka ange mind
 
Siku moja nilikataliwa kusafiri kwenye ndege sababu nililewa sana wakaona naweza leta shida angani maana ilikuwa ndege ndogo haina choo hiyo haimaninishi kuwa mimi ni mwehu
Ni mwehu utaingiaje kwenye ndege ndogo chakari wakati unajua haina choo?
 
Kuanzia leo nitaitwa Ambivert90 nikipiga hela utalalamika?
Kuhusu YESU ni utaratibu tu wa dini ya Kikristo ajili ya kifungu kutolitaja jina la bwana wako bure ila wapo watu wanaitwa Akayesu.
Kwa waislam hii sio issue kwanza ni sifa
Hata MUNGU wapo watu wanaitwa Munguatosha.
Na pilato? Na Iskariote je? Mbona watu hawayataki
 
Kuna Nyerere wengi sana hasa waliozaliwa mwaka 1961 siku ya Uhuru.
Huu ni ujinga mwingine kuzuia jina kutumika.

Mimi mwenyewe ni Glenn Nyerere😂
 
Back
Top Bottom