Una jazba saana haya onyesha kwa Wabena na Wahehe nionyeshe ubini wa Nyerere nionyeshe Mbena mwenye ubini wa Nyerere, acheni hizo halafu mnatafuta sympathy za kijinga kutaka muonewe huruma kwani ni lazima mtumie jina la Nyerere wakati hamhusiki nae namaanisha kuhusika nae kifamilia watoto na ndugu wa chimbuko lake yeye, hapa nazungumzia ubini as if Nyerere ni Baba aliewazaa wakati Nyerere ana watoto wake na wajukuu wake na vitukuu, sasa inaleta contradiction sababu nyinyi mnalitumia jina la Nyerere kibiashara kupiga Pesa kutengeneza deals n some sort like sasa kwanini msitafute majina mengine kwanini mtumie mtelezo wa Jina Nyerere kujitengenezea Pesa? Mkipigiwa simu hampokei