Emma Lwaitama Nyerere: Kisababishi kilichojificha katika sakata la Madaraka na Steve Nyerere?

Jina Nyerere sio Brand na wala halina hiyo unayoita 'hatimiliki'.

Kuna watu huwapa watoto wao majina ya watawala au matukio makubwa ya wakati huo, kuna kina Nyerere wengi tu waliozaliwa kipindi cha uhuru.

Makongoro Nyerere naye alipie hilo jina?
makongoro nyerere yupi? kama yule mtoto wa nyerere? kama ni huyo halioiibkutumua hilo jina
 
Hio ni nickname yangu mimi ila NYERERE sio nickname ila ni Jina la Babu yake Madaraka Mzee Nyerere Burito, kwa hio sio Jina la kulitumia kupiga Pesa mazee tumieni ya kwenu na ukoo wenu mnajiita Nyerere ili mpige Pesa kibwete nyambafu
 
Hio ni nickname yangu mimi ila NYERERE sio nickname ila ni Jina la Babu yake Madaraka Mzee Nyerere Burito, kwa hio sio Jina la kulitumia kupiga Pesa mazee tumieni ya kwenu na ukoo wenu mnajiita Nyerere ili mpige Pesa kibwete nyambafu
 
Hio ni nickname yangu mimi ila NYERERE sio nickname ila ni Jina la Babu yake Madaraka Mzee Nyerere Burito, kwa hio sio Jina la kulitumia kupiga Pesa mazee tumieni ya kwenu na ukoo wenu mnajiita Nyerere ili mpige Pesa kibwete nyambafu
umeongea kuntu
 
Labda wanazani ukijiita ubini wa Nyerere na DNA zako zinabadilika na kua za Nyerere!? Kwa hiyo Madaraka inabidi alinde jina ili warithi wa Nyerere wasiwe wengi kupita kiasi hadi wao kina Nyerere OG wakakosa fungu lao la Urithi wa Baba yao!!
 
Wazungu wakipiga marufuku msitumie majina yao wengi humu mtabaki jina la " wemtu" au "we tall, au short, au bonge".
Wazungu na warabu wenye koo zao huko wakataze majina yao yasitumike na watu wasio koo zao.
Nataka nipime umburula hapa.
 
Hio ni nickname yangu mimi ila NYERERE sio nickname ila ni Jina la Babu yake Madaraka Mzee Nyerere Burito, kwa hio sio Jina la kulitumia kupiga Pesa mazee tumieni ya kwenu na ukoo wenu mnajiita Nyerere ili mpige Pesa kibwete nyambafu
Madaraka nae anajiitaje Madaraka wakati Madaraka yenyewe hana!? Jina ni Jina tu atulie!!
 
Kamuulize Lwaitama kama sio mwehu kwa nini ndege ya pressicion air walishawahi kumshusha kwenye ndege kabla ya kuruka kwa nguvu
🤣🤣 Ah we mkorofi 🤣🤣🤣
Ishu ya Precision mzee alikua sawa. Alitaka watoe maelekezo na kwa lugha ya Kiswahili.
 
Hio ni nickname yangu mimi ila NYERERE sio nickname ila ni Jina la Babu yake Madaraka Mzee Nyerere Burito, kwa hio sio Jina la kulitumia kupiga Pesa mazee tumieni ya kwenu na ukoo wenu mnajiita Nyerere ili mpige Pesa kibwete nyambafu
 
Madaraka nae anajiitaje Madaraka wakati Madaraka yenyewe hana!? Jina ni Jina tu atulie!!
Tumieni ya kwenu kupiga Pesa sio mnatembelea majina ya watu na mbaya zaidi mnataka mjulikane hivyo lengo ni kupiga hela sasa wenyewe hawataki sababu mnatumia Jina kupiga hela na mkipigiwa simu hampokei
 
Kamuulize Lwaitama kama sio mwehu kwa nini ndege ya pressicion air walishawahi kumshusha kwenye ndege kabla ya kuruka kwa nguvu
Kwaiyo Kushushwa kwenye ndege ndo tafsiri ya kua mwehu?

Mbona kama vile wewe ndo mwehu
 
Kwani ni lazima utumia majina ya ukoo mwingine kisa tu ni maarufu,, na ukoo wangu atautangaza nani ? Je huo sio ushamba na ulimbukeni ?
 
Naona hoja hii imejaa hisia zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…