Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Watu wanapitia mengi sanaLeo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikua busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma siku hizi umekua mzembe sana yani kimoja kweli? Siridhiki ujue" asee nilijisikia vibaya kinoma mpaka tunafika mwisho wa safari emma alikua bado hajajibu sms. Tufanyeni mazoezi wakuuπ.
Upinde umeingiaje hapa mkuu?Una harufu ya upinde stop this madness
Noma mzee, halafu nivile videmu vinavyotoboa mapua.Watu wanapitia mengi sana
ukatamani nafasi ya emma mzeeNoma mzee, halafu nivile videmu vinavyotoboa mapua.
Haha, sema kadem kwenyewe sio kakali halafu no nyashi kabisa.ukatamani nafasi ya emma mzee
Haha sitaki kesi mkuu.Ni emma yupi kati ya hawa
ππππππ
Emma leo
Emma luca
Emma Mchoraj
Emma mjeshi
Emma Mueller
Emma-the-Great
Emma78
Kweli mzee ndio maana hata hakujibu sms dizain kama anakakataa.Emma kamzoea uyo dem... dem ukishamzoea ham inapungua
Mkuu kwako kipaumbele ni awe mkali na awe na BIG NYASHHaha, sema kadem kwenyewe sio kakali halafu no nyashi kabisa.
ππ dahacha ushubwada wewe mtoto wa kiume utaliwa ta**ko
Sio kakali. Kembamba kichizi.Ulichukua namba ya huyo manzi?