Yaani, ndio mjifunze kwa Ivan, kumbe mkitendwa kidogo mnaumia hadi mna dead.. Nashukuru nilibadiligi mawazo ya kumtenda huyu wangu. Japo haikuwa kirahisi, namshukuru Mungu kumpelekesha kidogo tu, akarudi kwa line. Wanaume mna shombo sana hasa mkiwa kwenye 30s - 40snimejaribu kufwatilia maoni mengi ya wanawake yamekaa kikatili hayana chembe ya huruma. nyie wanawake roho mbaya mmeipata wapi?
>nyie ndo kila siku mnalialia kutafuta huruma na sisi tunawafariji lakini likija swala la sisi mnauvaa ukatili.
>tutafika tuu!!!!!!
ni chungu sana lakini ni dawaTatizo wanaume huleta kibri dharau n. k ukichoka ukamove on ndo anaona umuhimu wako. Wengi huwaacha wanawake nakuwachunia/kejeli miez au miaka baadae ndo wanagundua walikosea
Kuimba hajui,alikuwa anarukaruka tu jukwaani kwenye nyimbo za mkeweHuyu kijana bado hajaweza kuendelea na maisha yake,hii ndio tatizo la kuzoea kulelewa na mwanamke na ukawa huna kazi ya maana.
Maana hata kuimba huwa sioni kama anajua kuimba,nadhani alikuwa anaimba kwa "mgongo" wa mkewe.
Ukiangalia mambo anayo-post facebook,utagundua bado haamini kama kaachwa.
Tumuombee arudi sawa,vijana wa kutegemea wanawake huwa wanateseka sana wakiachwa..
Na hilo ndio tatizo...Hata sasa sijawahi kusikia wimbo wake wowote uliotikisaKuimba hajui,alikuwa anarukaruka tu jukwaani kwenye nyimbo za mkewe
Kati ya mademu "wakavu " duniani Frola anabeba taji asee..
Yasije yakakukuta shost..mi kaniboa kuolewa na huyo mtoto kuswekwa kha,ila mh nikae kimya
hata sijakuelewa,hebu kunywa maji kwanzaNamtetea Jamani.Mbasha alishamobe on.Na.ana MTU wake' Mtoto makali' sana ila hana kinyongoooooo.Mbona Sema alimuwish Tiffa birthday Tatizo wabongo unataka Biff..Akiweka Bifu oooh naumia..Yupo Positive..ooh alilelewa.Maisha anayoishi Mbasha kwa Sasa ..Wengi wetu hatuna.Kuna majuzi tu Mzee Mengi kamtunza mamilion wakati anaimbaaa.Kuimba anajuaaa .Unasema Hajui wewe unajua???Ebu tumuwacheeeeee
mbasha jina la kichaga lakini flora ndio msukuma wa mwanza Mjukuu marehemu MOses kulolaSio mchaga wewe ni msukuma wa mwanza