Thanks for admitting you made yourself difficult to understand. So please come againWhat
Totally u got me wrong, pls always try to read to understood, Board of Directors of BOT will be the one to recommend few names to President to pick the Governor, who will be running the BOT (keep in mind Government will hold a major shareholder ,51%)
Hatuwezi kufaidika sote hata iweje.Hizi teuzi zinaweza kukupa chuki dhidi ya watawala..Keki ya taifa ni kwa ajili ya wachache mno.
Ngoja tuone, sometimes wajuaji sana nao wanaharibu kwa kutotaka kusikiliza. Naamini kazi kubwa ya kiongozi ni uratibu wa mawazo na kuamua nini kifanyike.huyu gavani ameteuliwa kwa mapenzi ya Makamu wa rais, siamini kama ana vigezo zaidi kuweza kuhudumu kama Governor.
Unampangia cha kufikiria wabongo mkoje.Ulitaka uteuliwe wewe?
Nchi ipi duniani ambapo Central Bank hamilikiwi 100% na serikali? Au unafikiri BOT ni Commercial Bank?What
Totally u got me wrong, pls always try to read to understood, Board of Directors of BOT will be the one to recommend few names to President to pick the Governor, who will be running the BOT (keep in mind Government will hold a major shareholder ,51%)
Hakuna shukran za hivyo.Si unaona, wengine watabahatika kuila na wengine wataikuta kwenye ubwabwa na kunao watakaokosa kabisa hata kwenye ubwabwa. Watu wawe na shukrani hata kwa kuwaona wengine wakiila.
Anachagua anaokaribiana nao daraja, mbona ye anaupigaga.naona Rais Hassan ameanza kuheshimu wenye uzoefu na weledi kuliko taaluma za vyeti peke yake, ni jambo jema sana, uprofesa bila skills na experience kiutendaji ni bure tu wengi angle ya leadership na management ni weupe sana, hata standing order ya serikali wanaenda kuiona na kuanza kuisoma baada ya hzi teuzi
Oooh so she is naive and not fit for the top seat, that's real anywayAnachagua anaokaribiana nao daraja, mbona ye anaupigaga.
Acha upumbavu, wapi nimeandika kuwa ISIMILIKIWE na serikali?,what's the rush?kwa nini usisome taratibu ili uelewe mchangiaji anaongea nini, hapo juu kuna mchango wangu kuwa serikali inakua major shareholder let's say 51%,President wa nchi anamteua Governor kutokana na mapendekezo ya Board of Directors ambao ndio wanawawakilisha shareholders, loooooo middle class wa kitanzania ni shida tupuNchi ipi duniani ambapo Central Bank hamilikiwi 100% na serikali? Au unafikiri BOT ni Commercial Bank?
You are just shithole like any other shithole!! Jibu hoja nchi ipi duniani Central Bank haimilikiwi na serikali kwa 100%? Umesema serikali iwe major shareholder let's say 51% ndio maana nikauliza wapi duniani serikali inamiliki hizo share let's say 51% or so!!? Kama huelewi sema hujui yaishe ili tukupe somo sisi tunaojua zaidi yako.Acha upumbavu, wapi nimeandika kuwa ISIMILIKIWE na serikali?,what's the rush?kwa nini usisome taratibu ili uelewe mchangiaji anaongea nini, hapo juu kuna mchango wangu kuwa serikali inakua major shareholder let's say 51%,President wa nchi anamteua Governor kutokana na mapendekezo ya Board of Directors ambao ndio wanawawakilisha shareholders, loooooo middle class wa kitanzania ni shida tupu
Anafiti kikubwa uongozi na tija mama si mwingi wa elimu lakini hekima zake twaziona.Nilimaanisha hiki.Oooh so she is naive and not fit for the top seat, that's real anyway
Ubora na udhaifu tafadhaliBora tutuba kuliko luoga.
Boma liwanzaLe mutuz, Boma Yeeee, U know amekulia kwenye mboga saba....
Mama d
JPM uliwahi kereka hivi hivi, ulikuwa unashangilia hadi ushuzi unauacha kwenye chupi ukisikia ametumbua mtu?Nachoshwa na teuzi jamani. Madaraka ya Rais ni makubwa mno yaani mpaka inakera.
Kwa taarifa yako, Marekani mpaka leo wanajifunza Classical Latin. Unafikiri ni wajinga? Wanajifunza kuhusu Napoleonic Wars? Unafikiri ni wajinga?60yrs ya utawala wa ccm hadi leo unapigana na viajira uchwara, wenzetu wapo kwenye programming &coding sisi bado unafundishwa kukariri lini Dr.David Livingstone aliingia lini Tanganyika!
Means kwako USA ndio kioo chako fair enough, jilinganishe na mambo mengine na USA na nchi yetu, coding n programming ni some muhimu ndani ya USA, sijui hiyo imeitoa wapiKwa taarifa yako, Marekani mpaka leo wanajifunza Classical Latin. Unafikiri ni wajinga? Wanajifunza kuhusu Napoleonic Wars? Unafikiri ni wajinga?
Ni mtu mbumbu na mpumbavu kama wewe ndie unakuwa na mtazamo wa kishamba!
Huyo jamaa si alikuwa katibu tawala wa mkoa wa mwanza 2020Tutuba kwenye sekta ya fedha na uchumi kahudumu muda tu..fuatilia, si mgeni
Kama wageni ni weledi kuliko wenyeji Acha watutawale tuu, imagine mbantu mwenzetu alikuwa anatukatia umeme Kwa maksudi tuuu, hata Yusuphu ( mwisraeli) Kwa weledi wake alijikuta ni Waziri mkuu Misri ... Watu wanasema Maghufuli alikuwa mrundi na mkapa alikuwa mtu wa msumbiji, ni mara Mia tuIla Bashe ni Msomali. Mie sipendi ninavyomuonaona huku kwenye baraza la mawaziri maana akikaakaa huku sana kuna siku anaweza akawa Rais.