End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

Imeandikwa hakuna atakayejua siku wala saa.............! Endeeleni kubwabwaja tu lakini MUNGU anajua anachokifanya, hata muweke maushahidi kiasi gani ? Siri hiyo inabaki kuwa ya kwake tu kama muumba MBINGU na nchi !
 
How many prophesies of nostradamusyou came to pass. The mayan calender ends on the 21st of December 2012. Are mayan?

[Quran - 9.36] Surely the number ofmonths with Allah is twelvemonths in Allah's ordinance since the day when He created the heavens and the earth..

As for the end; itshall come but only Allah knows when. Mankind have not finished all that Allah has ordained......Be good and stop worrieng about the end.
 
haiitaji nguvu nyingi sana za kufikiri 2012 si ndio hii let us wait and see, wakichemsha we will be right here and we will prove them wrong.
ila tu hata hiyo calender ya mayan haikusema popote kuwa 21 dec 2012 ndio mwisho ila ilichokionesha ni kuwepo kwa matendo/ majanga mengi katika hiyo long circle na wao mayans waliamini yaho mambo yatakayotokea yatakuwa mwanzo wa kipindi kingine(evolution). hayo si yangu ila ni ya wataalamu wa kihistoria wanaotokea katika jamii hizo na waliojikita kuistudy hiyo calender.
watu wamekuwa na tabia ya kupotosha mambo ama kutoa tafsiri zenye maslai kwao kwa sababu mbalimbali. kuona ni kuamini ngojeni tijionee.
 
hakuna cha kusubiri wala nini...vigezo gani wanatumia kujua the end is near??
 
Naombeni tuachane na wehu. Hii mambo ya dunia kuisha ni upuuzi. Y2K ilipita bila shida. Solar eclipse watu wakarudia upuuzi huo huo. Rapture ya yule mwehu wa marekani ikaja na kupita. Upuuzi na wapuuzi ni wale wale, wanavaa makanzu tofauti tu.
 
kama kwel ni mwisho wa dunia ni kukesha na kumwomba Mungu manake hatujui siku wala saa atakayokuja mwana wa adam! mwisho wa dunia ni ile siku ambayo israel anapokuja kama mwewe
:lol: kuchukua roho ya binadam. hapo ndio kilio na kusaga meno
 
siku ikifika hakuna anae jua kwani ingekua ivyo basi hata hao walio kule Afgan Stan wasingeenda huko wakati wanajua kabisa nikifo 2 hata ilo2kio lIkitokea wapo watakao potea na wapo watakao vbabia hata enzi ya NUHUU wapo walio baki jipe moyo kua huenda wewe ukawa mmoja wao A au B..ZAIDI 2 FANYA KAZI KAMA HAUFI LEO NA AMINI MUNGU WAKO KAMA HAUFI LEO
 
naombeni tuachane na wehu. Hii mambo ya dunia kuisha ni upuuzi. Y2k ilipita bila shida. Solar eclipse watu wakarudia upuuzi huo huo. Rapture ya yule mwehu wa marekani ikaja na kupita. Upuuzi na wapuuzi ni wale wale, wanavaa makanzu tofauti tu.

yule mdingi wa america
naona alikuwa stressed ajili umri
umesonga anaogopa kuvuta!
Sasa baada ya utabiri wake kufell kapata
strock!
 
Najua wote tuliona lile bango pale Ubungo Bus stand likieleza kuwa mwisho wa Dunia umekaribia! Lakini mbona tuliingia mwaka mwingine bila mwisho wa Dunia! Maandiko yanasema 'hAKUNA AJUAE SIKU WALA SAA AMBAPO MWANA WA ADAMU ATAKAPOKUJA KUWACHUKUA WATEULE WAKE! Sasa hawa jamaa mbona wanadanganya watu kuwa 21 Dec 2012 ndo mwisho. Chukua akili zako changanya na za mbayuwai!
 
Jaman mbna wagumu kuelewa? Huyu mama hajasema mwisho wa dunia utakua tar flan au mwaka flan ila amesema kuna v2 flan flan kama indicators. Mie cwez kubisha maana cjui ila naweza kukubali maana dalili za alivovitabiri mwaka 1968 ndo zinaanza kujitokeza sasa
 
Jaman mbna wagumu kuelewa? Huyu mama hajasema mwisho wa dunia utakua tar flan au mwaka flan ila amesema kuna v2 flan flan kama indicators. Mie cwez kubisha maana cjui ila naweza kukubali maana dalili za alivovitabiri mwaka 1968 ndo zinaanza kujitokeza sasa

dmatemu hiyo avator yako, mmmmmmm
 
bujibuji aliyoyasema huyo bibi mbona yote yalitabiriwa kwenye Biblia (hasa Daniel na Ufunuo) , ila ukweli wa siku yenyewe ya kuja kwa Yesu ambapo ndo tunasema mwisho wa hii dunia hakuna ajuaye ila Mungu mwenyewe. Tuwe makini tu kwamba tuwe tayari kwa siku hiyo kulingana na ishara tulizopewa kwenye biblia.
 
ni rahisi kupuuza utabiri Lucia wa Fatima lakini ukisoma kwa umakini kila Siri iliyotangazwa inaogofya mno! Tujipe moyo lakini inaogopesha.asante kwa mdau aliyeweka humu nafikiri bujibuji!
 
Mimi naamini kkuna kitu kikubwa sanakitatokea mwaka huu kitakachotishia existance ya mwanadamu na viumbe wengine hapa duniani, lakini si mwisho wa dunia.
 
Saa ya kutukuzwa Mungu aliyemkuu na mwenye uweza kuliko wote itafika 21 Dec 2012. Ndio siku tutajua kuwa mwisho wa Dunia anaujua yeye tu!!! Tumsifu sana tarehe 22 Dec 2012.
 
Hebu msituogopeshe huko, matupa jampajampa tuache kufanya mambo ya maendeleo na kuwajengea future watoto wetu, maandiko yanasema hakuna mtu aijuaye siku wala saa ambayo atakuja mwana wa Adamu na mwana wa Adamu atakuja kama mwizi, mwizi akija kuiba kwako anakupa taarifa? Ninyi hizi tarehe mnazitoa wapi? Hebu tuambieni tarehe, mwezi na mwaka ambao dunia ilianzishwa.
 
Nyie watu mbona Mnapingana na Mungu,naye alisema Kesheni Mkiomba Maana hamjui siku wala saa ya kuja kwake Mwana wa Adam,iweje leo mwendahazimu huyo Akasikilizwa na Kuaminiwa? ANABOA
 
Back
Top Bottom