Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

Unamuita mwenzako mshamba wakati we ndo mshamba? Hizo laini halotel wanazo acha ushamba
We tumbili mwitu nimesema hizo simu za aina hio hawana usiwe unaparamia wanaume ghorofani utapakwa mafuta shauri yako
 
Mimi pia nawaza ikitokea kampuni au mtu atayeweza kutengeneza simu(smart) au betri ambazo zinatumia gesi badala ya kuchaji,yaani ukitia gesi unakaa hata mwezi simu haiishi chaji,atakayefanikisha hii kitu atapiga Sana pesa.
 
Zipo hizo line, wazo zuri, ila wenzako walisha li implement, and why the line? Wakati unaweza kuwa na antenna? Lengo si internet? Au lengo ni stress!
 
Back
Top Bottom