Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

Kwamba hicho kifaa Unaweza ukagoogle ukaingia YouTube TikTok Whatsapp na ukawa hapatikani Kwa calls za kawaida?
Ukitaka kutopatikana unaweza tu kununua line mpya na usiwape watu hiyo namba, na pia block all incoming calls. sidhani kuna kampuni inaweza kufikiria kutengeneza smart device iliyo na minimal functions ili wakose soko kwa wanaohitaji full functions ambayo ndio wengi
 
Sasa hivi upo nyuma ya nani au upo nyuma ya NONDO?
Nimeinunua hiyo vita nimesimama kama Karma, nimekuita mshamba ili upate maumivu kiasi kilekile alichopata mtu ambae wewe umemuita mshamba bila sababu za msingi.
Hayo maumivu uliyoyapata baada ya mimi kukuita mshamba ndo maumivu hayohayo kayapa uliemuita mshamba kwahiyo acha tabia ya kufanya bullying mitandaoni
 
Nimeinunua hiyo vita nimesimama kama Karma, nimekuita mshamba ili upate maumivu kiasi kilekile alichopata mtu ambae wewe umemuita mshamba bila sababu za msingi
Nimekuuliza upo nyuma ya nani huyo ulinunua kutoka kwake au nyuma ya NONDO?
 
Hivyo vifaa vipo lakini tatizo linakuja upande wa hizo application ulizotaja. Zote zinataka lazima uweke namba ya simu inayo patikana kwa voice call.
Kwamba YouTube inahitaji namba kwamba Whatsapp ni lazima line iwe kwenye hicho hicho kifaa Kwamba msimbo hauwezi kutumwa Ikiwa line IPO kwenye simu nyingine? ELIMU ya wapi hii Mzee unataka kutufundisha?
 
Wewe hujaelewa mada soma tena upya
Hakuna kampuni itafanya hivyo, hizo features tayari zipo.
Kama hutaki calls na sms nunua sim card au weka software ya kuzuia...

Hakuna kampuni itaingia kwenye biashara hio wakiwa wanategemea kwamba hio ndio unique feature ya kuleta wateja...

Hata hilo wazo ukipendekeza kwa investors hawatochukulia serious...

Umeelewa kiongozi?

iPhone wanauza simu zao kwa ubora wa simu na security, pixel ni camera n.k
We unaingia sokoni kwa feature ya kuzuia calls na sms kitu ambacho tayari kipo...
 
Hakuna kampuni itafanya hivyo, hizo features tayari zipo.
Kama hutaki calls na sms nunua sim card au weka software ya kuzuia...

Hakuna kampuni itaingia kwenye biashara hio wakiwa wanategemea kwamba hio ndio unique feature ya kuleta wateja...

Hata hilo wazo ukipendekeza kwa investors hawatochukulia serious...

Umeelewa kiongozi?

iPhone wanauza simu zao kwa ubora wa simu na security, pixel ni camera n.k
We unaingia sokoni kwa feature ya kuzuia calls na sms kitu ambacho tayari kipo...
Evidence IPO wapi mkuu?
 
Kwamba YouTube inahitaji namba kwamba Whatsapp ni lazima line iwe kwenye hicho hicho kifaa Kwamba msimbo hauwezi kutumwa Ikiwa line IPO kwenye simu nyingine? ELIMU ya wapi hii Mzee unataka kutufundisha?
Sijasema YouTube bali Whatsapp n.k.
Vipo vifaa( handheld portable device) kama unavyosema ambavyo vina hiyo YouTube na havipokei simu.
 
Back
Top Bottom