Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

Toa nondo hizo mkuu watu wapate madini kwasababu sio dhambi kutofahamu kitu wewe ukakifahamu elezea hapa Mzee kama Kweli
 
Mkuu naomba huu ujanja wa kutumia internet huku umeblock simu na sms
 
Mbona iPad zipo miaka Konso, haina call wala sms za kawaida , line unaweka inatumia data tu

Kuna iPod pia kama unataka size ya Simu , haina call wala sms za kawaida, Yenyewe ni data tu. Wazungu huwanunulia watoto wao hasa wa shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…