Endapo Salum Kikeke atateuliwa na Rais, Diaspora tutaanza kuona njia ya Uraia Pacha ikifunguka

Endapo Salum Kikeke atateuliwa na Rais, Diaspora tutaanza kuona njia ya Uraia Pacha ikifunguka

Hoja yangu siyo KIKEKE; Hoja yangu NI njia yakuanza kujadiliwa Kwa uraia Pacha
Unapokuwa na watu wenye uraia Pacha unapata wasukuma agenda
 
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo... Wewe usifanye waliyopo kwenye system wanafanya...
 
Alianza Charles Hilary , akafuata Zuhura Yunusu na Sasa Salim Kikeke. Sina hoja Kwa Charles na Zuhura Kwa Sababu walikuwa raia WA Tanzania na awakuwahi kupata uraia huku ughaibuni.

Kwa Salim Kikeke inazaliwa hoja ya uraia, hoja hii inakwenda kuathiri utaratibu mzima WA uteuzi kwenye secta ya umma ambayo nivigumu mgeni kupewa ajira au nafasi ya kuteuliwa. Upo uwezekano Kikeke kaacha KAZI BBC kama maandalizi yakurejea kwenye asili yake....that's good kwamba mtoto anarudi home Kwa wazazi wake. Lakini vipi kuhusu sheria za nchi?

Zanzibar wamerejesha watu wengi wenye passport mbili na wamepewa uteuzi maeneo nyeti.....hakuna anayehoji kuhusu sheria za uraia Kwa Sababu anayeteua ndiye mwenye nchi. Lakini hii Tabia ikiendelea kuna umuhimu wa kukataa uraia Pacha? Au uraia Pacha utakuwa Kwa vigogo na wenye connection kwamba wanaweza kupewa ajira Bila kujali uraia wao wala sheria za nchi?

Ningependa Kikeke aingie kwenye list ya wateule ili tufungue milango ya Sisi tishio na connection kupata uraia Pacha. Diaspora tutumie fursa hizi kujenga hoja watawala waliopo ambao Wana nasaba na wageni watuvushe tuweze kuwa na Haki ya uraia wetu WA kuzaliwa huku tukipata pia fursa ya kutumikia uraia WA mataifa ya ulimwengu wa kwanza.

Complicated but complete
Asante sana kwa kujaribu kumharibia mwenzio.
 
Uraia pacha unaopigiwa kelele sio huo wa watu walioishi nje muda mrefu kuja nyumbani Tanzania kufanya maisha hapana.

Watu wanataka kwenda nje ya inchi kufanya kazi au biashara halafu wanachokipata wanakuja wekeza hapa Tanzania kwa kujinunulia assets kama majengo, kujenga makazi ya biashara ya real estate au mahoteli na kuwekeza katika biashara kama wawekezaji active.

Yaani mtu awe anaweza kwenda mbele anapiga mzigo mwaka mzima au anapiga miezi kadhaa anakuja huku kuchungulia miradi yake na kuondoka.

Sasa hiyo CCM hawataki ukiwauliza sababu hawasemi wanajiuma uma. Hiki chama kina watu wachawi.
 
Uraia pacha unaopigiwa kelele sio huo wa watu walioishi nje muda mrefu kuja nyumbani Tanzania kufanya maisha hapana.

Watu wanataka kwenda nje ya inchi kufanya kazi au biashara halafu wanachokipata wanakuja wekeza hapa Tanzania kwa kujinunulia assets kama majengo, kujenga makazi ya biashara ya real estate au mahoteli na kuwekeza katika biashara kama wawekezaji active.

Yaani mtu awe anaweza kwenda mbele anapiga mzigo mwaka mzima au anapiga miezi kadhaa anakuja huku kuchungulia miradi yake na kuondoka.

Sasa hiyo CCM hawataki ukiwauliza sababu hawasemi wanajiuma uma. Hiki chama kina watu wachawi.
Kipi kinachozuia kwa hao walioukana uraia wa Tanzania kurudi kama wawekezaji?

Kwa sababu biashara ya real estate au Hotel ni uwekezaji?

Kwa sababu sheria inakuruhusu kufanya hayo yote na kurudi nchini unaomba visa na unakuja kutembelea mashokola ya kwenu.
 
Uraia pacha hatutaki. Kwani nyie mliopo nje mnatuletea mambo ya kisenge. Hatuwezi kukubali mkae huko huko
 
Aisee! Umeyapiga masokwe na kitu kizito! Hongera Sana!
iStock-1368096050-scaled.jpg

Sijui kama yametusikia sababu yako bize kuiba fedha na kuchezea fedha za Umma wetu .

CAG Kichere kasema wee ndio kwanza yanazisunda kwenye akaunti za CHINA.

Tumechoka kutawaliwa na Chama cha Masokwe.
 
Back
Top Bottom