Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.

View attachment 2636023


Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora .

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kichakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga! Tumia viungo vyako vyote kutafuta hela.
Haya basi tumekuelewa,okay short time unafanya kwa shilingi ngapi na usiku mzima unafanya kwa shilingi ngapi.

Usihofu tupo hapa kukuunga mkono na biashara yako ya K.Halafu kwa urahisi zaidi tuwekee hata namba yako ya simu,ili iwe rahisi.
 
Ni swala la muda tu. Muda utaongea Hata wema alikuwa binti
wakizeekaga wanatiaga huruma maana wengi wanakuwaga na watoto na baba tofauti tofauti, halafu hao wanowategemea kuwachuna nao maisha huwa yambadilika na ukizingatia hawana tena mvuto wa kudanga, kama vyeo wanakuwa hawana tena au mungu keshafanya yake, wanaishiaga vibaya sana ,wanaishi very sad life
 
Wahuni watakutumia sana watakuhonga hivyo vi chenji vitakavyokusaidia kubadilisha nguo na kutokulala jaa tu, ila kwenye soko la umalaya hautadumu kwa muda mrefu utachakazwa na utarudi kijijini kwenu huna kitu sana sana utaanza dozi isiyo na mwisho.

Urembo una mwisho na ukifika mwisho hakuna atakaetaka hata kukutazama mara mbili

refer maisha ya wema sepetu alivyokua mzuri miaka 10 iliyopita na Sasa alivyo huo Ni mfano tosha uzuri una kikomo
 
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.

View attachment 2636023


Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora .

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kichakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga! Tumia viungo vyako vyote kutafuta hela.
Astaghifirullah!!!
 
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.

View attachment 2636023


Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora .

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kichakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga! Tumia viungo vyako vyote kutafuta hela.

Jambo usilolijua ni kwamba kuwa wife material sio mateso, ni kuwa na familia yenye afya, amani na Furaha.

Wewe endelea tu kudanga, ila waulize waluokutangulia wakiwa wakweli watakwambia mwisho wao ni mchunu.
 
Nakumbuka enzi hizo nasoma Literature In English secondary hii point ya prostitution nilikua napenda sana kuielezea kwenye essay zangu.... Utasikia

Prostitution, Is the commercial sex or love for sale. In this poem a woman...........
 
*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatiboa.

Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
Hivi hao ni matajiri eeh

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom