Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatiboa.

Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
kuuza k ni laana muulize wema hata kibanda hana,sijui utakapo zeeka na k ikaanza kuninginia utamuuzia nani, tafuta pesa kwa shughuli halali nawe utafanikiwa
 
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.



Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga!
Usituharibie wake zetu Tafadhali
 
Kwani "wife material" wakiolewa hawapewi magari ya kutembelea na vingine vyote mdangaji anavyopata?
Wangapi wanapewa magari? Asilimia kubwa huishiwa kuvhoka na kichakaa tu. Kwani hatuwaoni mitaani?

Ile unaolewa tu mtoto anazaliwa majukumu yanaongoezeka. Unakuta hata upande wa kanga kununua inakuwa mtihani.
 
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.



Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga!
Unafundisha wenzako UMALAYA
 
Wamilikisheni mali basi. Siyo kila kitu umeandika jina lako halafu mke anamiliki k tu.
Wacha wapate akili ya kimalaya kama utakavyo.
Woi wanawake walotokana na biadhara haramu ni tabu sana
 
*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatoboa.

Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
Wema huyu ambae aliomba msaada watu wamsaidie au yupi?
 
Miaka ijayo,madogo

madogo hawatajua kutongoza,itakuani mwendo wa kununua tu na kuongezeka kwa single mothers.
 
Labda. Anadanga apate msingi(mtaji) wa arakati zingine za kumuinua kimaisha uwezi kuwa na source moja ukatoboa maisha
 
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.



Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga!
Kikubwa ni ujue pia wakati mzuri wa kufa maana mnasumbuaga sana mkiugua
 
Sasa wewe kila siku unahemewa na wanaume tofauti tofauti, unalambwa lambwa na midume tofauti kila leo, unapokea shahawa tofauti tofauti na unajiona uko timamu? 🗑️🚮

Mtu yeyote anaweza kumtambua mgonjwa wa akili, Daktari anahitajika kuthibitisha tu.
 
*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatoboa.

Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
Sasa hao uliowataja ndo wametajirikaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo namba moja anafaa kua Huddah Monroe na uzuri hajawahi kuficha,

Vera Sidika japo sasa ameamua kutulia na kuolewa,

Zari the bosslady (role model wa mabinti wengi bila kujua nyuma ya pazia)
Zari the boss lady
Hudda
Vera

Hawa ndio waliotajirika kupitia nyapuu, na sio slays uchwara wa Bongo.
 
Back
Top Bottom