Endeleeni Kujidanganya kuwa mtakacheza nao nafasi ya Pili ni timu dhaifu

Endeleeni Kujidanganya kuwa mtakacheza nao nafasi ya Pili ni timu dhaifu

Waambie ili wajitambue maana nchi hii ina watu wengi wasiojitambua
Nilimsikia Rais wao Mtoto wa Kota za NHC pale Fire Makao Makuu, Msemaji wao Mpaka Lipshine Mdomo na Mrembuaji wa Macho na Beki Wao Mtoto wa Morogoro Misufini Wote wakisema kuwa Lengo lao ni kuongoza Kundi ili wakutane na Timu dhaifu.

Halafu GENTAMYCINE nikiwadharau / akiwadharau hamna Akili mnakasirika na hamtaki.
 
Nilimsikia Rais wao Mtoto wa Kota za NHC pale Fire Makao Makuu, Msemaji wao Mpaka Lipshine Mdomo na Mrembuaji wa Macho na Beki Wao Mtoto wa Morogoro Misufini Wote wakisema kuwa Lengo lao ni kuongoza Kundi ili wakutane na Timu dhaifu.

Halafu GENTAMYCINE nikiwadharau / akiwadharau hamna Akili mnakasirika na hamtaki.
"lengo lao ni kuongoza kundi ili wakutane na timu dhaifu" kamenifurahisha sana

Wana mitazamo hasi hao watu. Sijui why wanakuwa hivyo lakini
 
Back
Top Bottom