GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waambie ili wajitambue maana nchi hii ina watu wengi wasiojitambuaYaani Wanafunzi Wote mmefaulu kwa kupata Division I halafu kwa Upumbavu wako usio hata na Aibu unajiona Wewe ni Bora kuliko Wengine.
Kuna Watu mnaugua Akili sana tu!!
Nilimsikia Rais wao Mtoto wa Kota za NHC pale Fire Makao Makuu, Msemaji wao Mpaka Lipshine Mdomo na Mrembuaji wa Macho na Beki Wao Mtoto wa Morogoro Misufini Wote wakisema kuwa Lengo lao ni kuongoza Kundi ili wakutane na Timu dhaifu.Waambie ili wajitambue maana nchi hii ina watu wengi wasiojitambua
Kwanza hiyo WI-FI hata siijui. Watu wa TISS ( Kitengo ) huwa mna Vioja mno.GENTA niaje, hivi Unatumia WI-FI?
Kijiba Cha rohoYaani Wanafunzi Wote mmefaulu kwa kupata Division I halafu kwa Upumbavu wako usio hata na Aibu unajiona Wewe ni Bora kuliko Wengine.
Kuna Watu mnaugua Akili sana tu!!
chuki yako kwa yanga itakuua kwa kihoroYaani Wanafunzi Wote mmefaulu kwa kupata Division I halafu kwa Upumbavu wako usio hata na Aibu unajiona Wewe ni Bora kuliko Wengine.
Kuna Watu mnaugua Akili sana tu!!
"lengo lao ni kuongoza kundi ili wakutane na timu dhaifu" kamenifurahisha sanaNilimsikia Rais wao Mtoto wa Kota za NHC pale Fire Makao Makuu, Msemaji wao Mpaka Lipshine Mdomo na Mrembuaji wa Macho na Beki Wao Mtoto wa Morogoro Misufini Wote wakisema kuwa Lengo lao ni kuongoza Kundi ili wakutane na Timu dhaifu.
Halafu GENTAMYCINE nikiwadharau / akiwadharau hamna Akili mnakasirika na hamtaki.
Wewe taahira Bado hajala ban tu?Yaani Wanafunzi Wote mmefaulu kwa kupata Division I halafu kwa Upumbavu wako usio hata na Aibu unajiona Wewe ni Bora kuliko Wengine.
Kuna Watu mnaugua Akili sana tu!!
Ya kwamba wenye Akili timamu huko Kwenu ni Baba Manara na Mzee Kikwete tu au?Hahahahaha rekodi imewekwa
Nikipigwa BAN ndiyo Mzungu David wa Mbezi Beach anaacha Kukutesa kwa Kukulazimisha Kusukuma Ukuta wake Tukuka au?
Aliyemaliza wa kwanza na mwingine wa pili bado unashindwa kuona udhaifu unasema div.I na II zote ni one tu, una matege ya kutambua poti.Yaani Wanafunzi Wote mmefaulu kwa kupata Division I halafu kwa Upumbavu wako usio hata na Aibu unajiona Wewe ni Bora kuliko Wengine.
Kuna Watu mnaugua Akili sana tu!!
Shida yake aba wivu wa kikeniAliyemaliza wa kwanza na mwingine wa pili bado unashindwa kuona udhaifu unasema div.I na II zote ni one tu, una matege ya kutambua poti.