Endeleeni kukariri kama mlivyofanya jana kwa Senegal, ila hata kwa Usiku huu Gwiji la Morocco nalo linaenda Kung'oka AFCON

Chuki zenu na Wivu wenu dhidi yangu hapa JamiiForums kutokana na Umaarufu na Mvuto wangu wa Kipekee na Uliotukuka ni Baraka Kubwa sana Kwangu.

Yeremia 1:19.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
🤣🤣
 
Nimefurahi sana hao morocco kutolewa maana walivyokuwa wanajisikia na kujiona kama sio waafrika vile na africa imewakataa vile vile 🤣🤣
Wamefanyaje mpaka wewe ukatafsiri kua wanajisikia na kujiona kama sio waafrika vile?
 
Ok Mtaalam
 
Naomba nikutukane, popoma mkubwa wewe!

Kwa nini unawaachia Watanzania wasikilize blah blah za wanaojiita wachambuzi wa soka wakati hapa umetuthibitishia kuwa wewe u mchambuzi mzuri sana kuliko hao wa maredioni na matviini!!??

Kama Mungu kakubariki kipawa/talanta fulani halafu wewe huitumii hiyo talanta/kipawa inavyostahili, humtendei haki Mungu aliyekupa.

Kongole kwa uchambuzi halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…