Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Jamaa wamerudi tena?mungu aepushie mbali maana yawezekana safari hii wamejipanga upya?haiwezekani kama walipelekewa moto mpaka wakavuka mipaka halafu leo warudi.
Silaha anatoa kauli tata,HUKU haya yanapamba moto,yawezekana chemchem ya hawa washenzi ipo humu humu nchini, ilisuala linahitaji Stadi ya kina ili kuikausha hiyo chem chemi yao,survailence ya juu inahitajika,ili kujua nyendo za wapuuzi hao na mawasiliano yao!
 
AIseeee hao "Ma-gay-idd" kwa "Key beat" inabidi wamalizwe kama alivyowamaliza Msukuma.
Rafiki yako na Wangu ( yule kutokea Mikoa ya Kusini ) hajakuambia hili au hali ya huko?

Yeye Mwenyewe alikuweko huko tena alinunuliwa hadi Pikipiki ( Bodaboda ) na Taasisi ili awasome vyema Maadui kwa kujifanya ni Dereva Bodaboda ila kilichomkuta huko na Kukoswakoswa nao sasa hivi tunapishana tu Koridoni Gesti za Kawe na Mademu wa Bwerere tunaowaokota kutoka kwa Kanisa la Mtume wao / wenu Tapeli ( Samjo ) wa Tanganyika Packers Kawe.
 
Rafiki yako na Wangu ( yule kutokea Mikoa ya Kusini ) hajakuambia hili au hali ya huko?

Yeye Mwenyewe alikuweko huko tena alinunuliwa hadi Pikipiki ( Bodaboda ) na Taasisi ili awasome vyema Maadui kwa kujifanya ni Dereva Bodaboda ila kilichomkuta huko na Kukoswakoswa nao sasa hivi tunapishana tu Koridoni Gesti za Kawe na Mademu wa Bwerere tunaowaokota kutoka kwa Kanisa la Mtume wao / wenu Tapeli ( Samjo ) wa Tanganyika Packers Kawe.

Nitamtafuta "NGACHI" anipe Full mkanda 😀 😀 ,sijaonana naye kama miezi miwili hivi.
 
Na Wageni wa huko Ki-Beat wa safari hii wanaonekana wameiva vyema kwa Shabaha, kwani wanalenga vyema Usoni, Kifuani upande wa ulipo Moyo na Magotini na wakikujia kwa nyuma wanafumua Kisogo na Ubongo kabisa.

Napeleka Uji tukutane LMH leo Jioni.
Huyo unayempelekea uji walishindwa kumlenga eeh!
 
Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
GENTAMYCIME habari yako inatisha. Kuna task ya chama natakiwa kufanya huko nimeogopa sana. Mazingira yapoje? Je sasa ni wana dili na mabaka tu au mpaka sisi raia?
 
GENTAMYCIME habari yako inatisha. Kuna task ya chama natakiwa kufanya huko nimeogopa sana. Mazingira yapoje? Je sasa ni wana dili na mabaka tu au mpaka sisi raia?
Tafadhali siitwi GENTAMYCIME ambalo ni Parody la Mpumbavu Mmoja aliyekuwa anataka Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu hapa JamiiForums bali naitwa GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?
 
Kwa akili yako lile sakata la mkiru(mkuranga,kibiti,rufiji) lililopita,Kama rais angesema hatua zozote zisichukuliwe ni kweli vyombo vya ulinzi na usalama vingeacha!?..rais anajua nini kuhusu ulinzi na usalama!?
We ni taira na mpumbavu mkubwa unajua nguvu ya raisi kkwenye hii nchii au umechanganyikkiwa kkma anaweza mtoa mkuu wa majeshi kwanini asiwajibike kwenye maswalla ya kiusalama
 
Tatizo kila mtu anajikuta Cuba University Alumni. Mmekazana na code mpaka mnajichanganya wenyewe 😏
 
Tafadhali siitwi GENTAMYCIME ambalo ni Parody la Mpumbavu Mmoja aliyekuwa anataka Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu hapa JamiiForums bali naitwa GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?
Aisee kweli unajua comrade ni rahisi kuchanganya aisee huyu tapeli alikuweza maana m na e siyo rahisi kutofautisha. Asante kwa kunifumbua macho juu ya jina lako mkuu GENTAMYCINE
 
Suala la kibit haliendi kwa mihemko operation iliyopita ilikua ni ya kuua hadi wasio na hatia ilimrad tu anahisiwa, sasa hata mimi nikiwa na chuki na wewe ilikua naweza kutoa taarifa za uongo na ukatangulizwa kaburini muda wa kuchakata taarifa ulikua hamna hali ilikua mbaya ila ilionekana ni tulivu kwasababu media zilizuiwa kabisa
Umesema kweli ule ulikuwa ukosefu wa weledi,kuua wauza uji Kwa mgongo wa kusafisha ni dhulma .

Bora Mungu alipotulipia kisasi.
 
Aisee kweli unajua comrade ni rahisi kuchanganya aisee huyu tapeli alikuweza maana m na e siyo rahisi kutofautisha. Asante kwa kunifumbua macho juu ya jina lako mkuu GENTAMYCINE
Angeniweza angeacha Kuitumia hiyo Parody ID? Ni rahisi Kuiiga ID yangu kutokana na Upumbavu wa Mhusika ila ni ngumu sana Kuiga yale yote mazuri ambayo GENTAMYCINE nimebarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu.
 
We ni taira na mpumbavu mkubwa unajua nguvu ya raisi kkwenye hii nchii au umechanganyikkiwa kkma anaweza mtoa mkuu wa majeshi kwanini asiwajibike kwenye maswalla ya kiusalama
Naona umenadi utaahira wako
 
Back
Top Bottom