MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
ShukranUsijali karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukranUsijali karibu
Wanadondoka mabaka au raiaHali si Shwari huko. Wanadondoka mno.
Nacheka kama mazuri ila mh hapana.Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.
Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.
Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Jeshi la wananchi kikosi cha mizingacode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
makomandoo.code kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalamaUko sawa kabisa mkuu, too bad ni kwamba hata namba 4 akucheka nao, yeye ndo alikuwa wa kwanza kuwatia nguvuni. 5 alikuwa aggressive tu kwenye kupambana nao ila file aliachiwa na namba 4. Huyu analeta malezi tu
Ni 99kjcode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Pole sana kwa ban mujarabMwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.
Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.
Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Tunapo ongelea maswala nyeti muwe mnakaa kimya.Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalama
sasa wakiingia DP ya bandari, ndo watapata silaha za kutoshaHali si Shwari huko. Wanadondoka mno.
code kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Ni rahisi tu! Sudan wako wapi? Tumejidai eti sisi ni wema sana, tunawasidia kusomesha vijan wao wa medicine, sijui digrii zingine walikwenda wapi!Nyerere si alisema: Ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu ukianza kuila utaendelea kuila tu. Hata akina Faiza na genge lake ukiwasikiliza vizuri utafikiri wako wamoja kumbe wakimalizana na Wagalatia nao huko wataanza kubaguana wao kwa wao mumo kwa mumo na hata kuuana. Hakuna dhambi mbaya kama ya ubaguzi -hasa wa kidini!
Dah! Hivi bado wengi tunamuondoa rais kwenye mambo yanayomuhusu. Kama hilo siyo la rais, kazi yake ni ipi? Teuzi? Wewe hujui Usalama wa taifa unaripoti kwa nani? Hujui mkuu wa majeshi anaripoti kwa nani? Hujui Mkuu wa polisi anaripoti kwa nani?Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalama
That means weakness in security!magaidi wa kibiti wamerudi tena?!!
Siyo swala la rais, Amiri Mkuu wa majeshi ni nani?Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalama