Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Nacheka kama mazuri ila mh hapana.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo magaidi wa kibiti wamerudi na wanajeruhi askari ?
 
Uko sawa kabisa mkuu, too bad ni kwamba hata namba 4 akucheka nao, yeye ndo alikuwa wa kwanza kuwatia nguvuni. 5 alikuwa aggressive tu kwenye kupambana nao ila file aliachiwa na namba 4. Huyu analeta malezi tu
Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalama
 
Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Pole sana kwa ban mujarab
Nitukane tena kama juzi nikupe ban nyingine
 
Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalama
Tunapo ongelea maswala nyeti muwe mnakaa kimya.
Vyombo vya ulinzi na usalama when it comes to national security matters, kazi yake ni briefings na kumpa ushauri tu kwa huyo namba 1 wenu. You are only provided with knowledge, utaifanyia nini sasa ni juu yako. Yule ndo commanding officer wa maswala yote ya national security provided that anakuwa supplied na all detailed intelligence and knowledge.
 
Nyerere si alisema: Ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu ukianza kuila utaendelea kuila tu. Hata akina Faiza na genge lake ukiwasikiliza vizuri utafikiri wako wamoja kumbe wakimalizana na Wagalatia nao huko wataanza kubaguana wao kwa wao mumo kwa mumo na hata kuuana. Hakuna dhambi mbaya kama ya ubaguzi -hasa wa kidini!
Ni rahisi tu! Sudan wako wapi? Tumejidai eti sisi ni wema sana, tunawasidia kusomesha vijan wao wa medicine, sijui digrii zingine walikwenda wapi!
 
Suala Kama Hilo siyo la rais mkuu,kwa muundo wa nchi hii,haiwezekani rais atie mkono wa kulizuwia Hilo,Hilo ni suala la vyombo vya ulinzi na usalama
Dah! Hivi bado wengi tunamuondoa rais kwenye mambo yanayomuhusu. Kama hilo siyo la rais, kazi yake ni ipi? Teuzi? Wewe hujui Usalama wa taifa unaripoti kwa nani? Hujui mkuu wa majeshi anaripoti kwa nani? Hujui Mkuu wa polisi anaripoti kwa nani?
btw., una cheti cha darasa la ngapi?
 
Back
Top Bottom