Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
pamoja kamanda
 
Aise , Vazi la ugaidi tulisikie tu.
Ila naamini hatua zinachukuliwa kimya kimya. Kozi za TPDF zinatakiwa ziwe updated sasa, yale mambo ya kuvimba na mstimu na magogo usiku kucha yapungue watu waive kwenye UJANJA PORINI na wafundishwe intelligensia yenye manufaa.
 
Mzee wa msoga alichakata na kufikia wapi? Tumefikia hatua ya kulea uharifu kwa dini, eti ni wenzetu. Wenzenu wa wapi?

Naelewa ubaguzi wa ndani ulivyo; hakuna mwarabu anayeamini afrika ya weusi kuna mdini wao wa maana. Z'bar nao wanaamini bara hakuna mdini wao wa maana. Pwani nao wanaamini bara hakuna mdini wao wa maana.
Upo nje ya mada asante
 
Na Wageni wa huko Ki-Beat wa safari hii wanaonekana wameiva vyema kwa Shabaha, kwani wanalenga vyema Usoni, Kifuani upande wa ulipo Moyo na Magotini na wakikujia kwa nyuma wanafumua Kisogo na Ubongo kabisa.

Napeleka Uji tukutane LMH leo Jioni.
Duuuh Mkuu hao wadunguaji Sasa Ni hatari..! Ngoja tuendelee kula mtori nyama ziko chini..[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom