Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,710
- 2,951
Kama CRDB 😂😂😂Uipo tupo ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama CRDB 😂😂😂Uipo tupo ..
Sijui.magaidi wa kibiti wamerudi tena?!!
Wazee wa 92KJNgerengere
pamoja kamandaMwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.
Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.
Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
code zao wenyewe zinawapoteza hio ndo Garbage In Garbage Out.......watu wa code wanaelewa hioWacha wauane.
Naaam.... mapigo na Mwendo.Wazee wa 92KJ
Hatari sana , watu wanabeba dunia usiku kucha ,, wanakuja kuwafucked na wavaa vikoi.Naaam.... mapigo na Mwendo.
Kizuka hebu Kaa kimya!!Situation is not Xtreme ikifikia huko watasagisha si unaona wameanza na waliowatanguliza 🤣🤣
Upo nje ya mada asanteMzee wa msoga alichakata na kufikia wapi? Tumefikia hatua ya kulea uharifu kwa dini, eti ni wenzetu. Wenzenu wa wapi?
Naelewa ubaguzi wa ndani ulivyo; hakuna mwarabu anayeamini afrika ya weusi kuna mdini wao wa maana. Z'bar nao wanaamini bara hakuna mdini wao wa maana. Pwani nao wanaamini bara hakuna mdini wao wa maana.
Naaam Vita ni Ibada dunia mzigo...mita 50 Mbele tembea⚰️Hatari sana , watu wanabeba dunia usiku kucha ,, wanakuja kuwafucked na wavaa vikoi.
poa na unakula likeMakoo-mandoo
Duuuh Mkuu hao wadunguaji Sasa Ni hatari..! Ngoja tuendelee kula mtori nyama ziko chini..[emoji848][emoji848][emoji848]Na Wageni wa huko Ki-Beat wa safari hii wanaonekana wameiva vyema kwa Shabaha, kwani wanalenga vyema Usoni, Kifuani upande wa ulipo Moyo na Magotini na wakikujia kwa nyuma wanafumua Kisogo na Ubongo kabisa.
Napeleka Uji tukutane LMH leo Jioni.
Sawa tupatane hiyo sa 12 jioniUlikuwepi lini na kama upo njoo kwa ndevu hapa tunywe supu
Usijali karibuSawa tupatane hiyo sa 12 jioni