Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Situation is not Xtreme ikifikia huko watasagisha si unaona wameanza na waliowatanguliza 🤣🤣
 
Atavuta shuka wakati jua limeshachomoza
Mluguru wa Watu anamwambia Kizimkazi Paje Queen akubali awafanyizie Kikatili kama ambavyo Bosi wake Mstaafu Msukuma alivyomwambia Aliyeondoka Mazima na Israeli Yeye anatanguliza Huruma na Imani wakati Watu wanapukutika na kujeruhiwa vibaya tu huko Ki-Beat area.
 
Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Ngoja ni download taarifa kutoka kwenye satelite yangu inayofuatilia mambo yanavyoenda pande hizo ili niweze kuhakiki.
Uzuri hakuna habari itapita bila ya kuwa captured na vinasio vyangu.
 
Kwaa kwaa kwani Kuna Habari gani jamani hahahaha...!
Na Wageni wa huko Ki-Beat wa safari hii wanaonekana wameiva vyema kwa Shabaha, kwani wanalenga vyema Usoni, Kifuani upande wa ulipo Moyo na Magotini na wakikujia kwa nyuma wanafumua Kisogo na Ubongo kabisa.

Napeleka Uji tukutane LMH leo Jioni.
 
Suala la kibit haliendi kwa mihemko operation iliyopita ilikua ni ya kuua hadi wasio na hatia ilimrad tu anahisiwa, sasa hata mimi nikiwa na chuki na wewe ilikua naweza kutoa taarifa za uongo na ukatangulizwa kaburini muda wa kuchakata taarifa ulikua hamna hali ilikua mbaya ila ilionekana ni tulivu kwasababu media zilizuiwa kabisa
Mzee wa msoga alichakata na kufikia wapi? Tumefikia hatua ya kulea uharifu kwa dini, eti ni wenzetu. Wenzenu wa wapi?

Naelewa ubaguzi wa ndani ulivyo; hakuna mwarabu anayeamini afrika ya weusi kuna mdini wao wa maana. Z'bar nao wanaamini bara hakuna mdini wao wa maana. Pwani nao wanaamini bara hakuna mdini wao wa maana.
 
Back
Top Bottom