Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qmmmke ndio uje useme huku funga domo lakoHali si Shwari huko. Wanadondoka mno.
Special force ya mabaka iliyosafisha ujinga ule wa ki -biti enzi za mjomba mzilankende muyango!!code kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Hata hii nayo ni "Code" ngumu kufungua?code kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Makomandoocode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Niende mara ngapi?Nenda maeneo hayo saa 12 jioni utakuja kuhadithia vizuri acheni kushupaza shingo
Ulikuwepi lini na kama upo njoo kwa ndevu hapa tunywe supuNiende mara ngapi?
Tukutane Jioni Hospitalini Kwao LMH.Fungua code! Wahusika wamekusikia
Situation is not Xtreme ikifikia huko watasagisha si unaona wameanza na waliowatanguliza 🤣🤣Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.
Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.
Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Mluguru wa Watu anamwambia Kizimkazi Paje Queen akubali awafanyizie Kikatili kama ambavyo Bosi wake Mstaafu Msukuma alivyomwambia Aliyeondoka Mazima na Israeli Yeye anatanguliza Huruma na Imani wakati Watu wanapukutika na kujeruhiwa vibaya tu huko Ki-Beat area.Atavuta shuka wakati jua limeshachomoza
Ngoja ni download taarifa kutoka kwenye satelite yangu inayofuatilia mambo yanavyoenda pande hizo ili niweze kuhakiki.Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.
Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.
Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
wasiojulikana!code kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Ngerengerecode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Na Wageni wa huko Ki-Beat wa safari hii wanaonekana wameiva vyema kwa Shabaha, kwani wanalenga vyema Usoni, Kifuani upande wa ulipo Moyo na Magotini na wakikujia kwa nyuma wanafumua Kisogo na Ubongo kabisa.Kwaa kwaa kwani Kuna Habari gani jamani hahahaha...!
Huna Kaka huko? Una uhakika kabisa?Wacha wauane.
Hiyo chenga ya mwili, mmepitiliza mazimaNgoja tumalize kuwashughulikia wahaini baadaye tutakuja huko ki-beat.
Mzee wa msoga alichakata na kufikia wapi? Tumefikia hatua ya kulea uharifu kwa dini, eti ni wenzetu. Wenzenu wa wapi?Suala la kibit haliendi kwa mihemko operation iliyopita ilikua ni ya kuua hadi wasio na hatia ilimrad tu anahisiwa, sasa hata mimi nikiwa na chuki na wewe ilikua naweza kutoa taarifa za uongo na ukatangulizwa kaburini muda wa kuchakata taarifa ulikua hamna hali ilikua mbaya ila ilionekana ni tulivu kwasababu media zilizuiwa kabisa
Wa key Beat hawana maneno mlio Mmoja mtu Mmoja analala.Hiyo chenga ya mwili, mmepitiliza mazima
Makoo-mandoocode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii