Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Endeleeni tu kutuficha ya 'Ki-Beat', ila tutaendelea Kuwatembelea Mahospitalini Kwao kuwapa Pole na 'Majeraha' yao makubwa

Ngoja niwaulize wanangu huko wanaendeleaje huko

Ova
 
Ngoja niwaulize wanangu huko wanaendeleaje huko

Ova
Tukutane baadae Alasiri pale LMH kuwatembelea japo kwa sasa katika Chumba chao walioko ( walikowekwa ) Umakini wa Kiulinzi umewekwa ili Wambea kama nyie msiingie au hata Kuchungulia kwa ndani muone wanavyouguza Vidonda vyao, Kuvalishwa Bandage na Kulia kwa kupakwa Spirit Ugokoni.
 
Mluguru wa Watu anamwambia Kizimkazi Paje Queen akubali awafanyizie Kikatili kama ambavyo Bosi wake Mstaafu Msukuma alivyomwambia Aliyeondoka Mazima na Israeli Yeye anatanguliza Huruma na Imani wakati Watu wanapukutika na kujeruhiwa vibaya tu huko Ki-Beat area.

Mluguru wa watu = Gen Mkunda
Kizimkazi Paje Queen = SSH
Boss mstaafu Msukuma = Gen Mabeyo
Aliyeondoka mazima na Israel = Jpm

Kizimkazi paje Queen ,njoo usikilize wajuvi wa mambo huku
 
Tukutane baadae Alasiri pale LMH kuwatembelea japo kwa sasa katika Chumba chao walioko ( walikowekwa ) Umakini wa Kiulinzi umewekwa ili Wambea kama nyie msiingie au hata Kuchungulia kwa ndani muone wanavyouguza Vidonda vyao, Kuvalishwa Bandage na Kulia kwa kupakwa Spirit Ugokoni.
Aise

Ova
 
Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.

Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.

Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.

Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Duh!... Kumbe ni ukweli ?
 
Umesema kweli ule ulikuwa ukosefu wa weledi,kuua wauza uji Kwa mgongo wa kusafisha ni dhulma .

Bora Mungu alipotulipia kisasi.
Nani aliyeuawa ambae hakuwa na hatia mjinga wewe? Uliwahi kufika hapo kibiti wakati ule kenge wewe? Mambo ya kiume yaache kwa wanaume wewe ivae pedi hiyo
 
Back
Top Bottom