Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Hadi sasa wamedondoka wangapi?Hali si Shwari huko. Wanadondoka mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa wamedondoka wangapi?Hali si Shwari huko. Wanadondoka mno.
Kama unafahamu kwamba Ngerengere ipo Morogoro na huko kuna kambi kubwa ya wajeda basi hii kwako siyo kodicode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Tafuta shughuli ya kufanya wewe,fainali uzeeni.Mtu mzima mwenye akili hawezi kujiita chawaGENTAMYCIME habari yako inatisha. Kuna task ya chama natakiwa kufanya huko nimeogopa sana. Mazingira yapoje? Je sasa ni wana dili na mabaka tu au mpaka sisi raia?
😂😂😂 Ni kichaa pekeeMtu mzima mwenye akili hawezi kujiita chawa
Bosi wao Mluguru anajua zaidi yangu.Hadi sasa wamedondoka wangapi?
Tukutane baadae Alasiri pale LMH kuwatembelea japo kwa sasa katika Chumba chao walioko ( walikowekwa ) Umakini wa Kiulinzi umewekwa ili Wambea kama nyie msiingie au hata Kuchungulia kwa ndani muone wanavyouguza Vidonda vyao, Kuvalishwa Bandage na Kulia kwa kupakwa Spirit Ugokoni.Ngoja niwaulize wanangu huko wanaendeleaje huko
Ova
Mluguru wa Watu anamwambia Kizimkazi Paje Queen akubali awafanyizie Kikatili kama ambavyo Bosi wake Mstaafu Msukuma alivyomwambia Aliyeondoka Mazima na Israeli Yeye anatanguliza Huruma na Imani wakati Watu wanapukutika na kujeruhiwa vibaya tu huko Ki-Beat area.
GENTAMYCIME habari yako inatisha. Kuna task ya chama natakiwa kufanya huko nimeogopa sana. Mazingira yapoje? Je sasa ni wana dili na mabaka tu au mpaka sisi raia?
AiseTukutane baadae Alasiri pale LMH kuwatembelea japo kwa sasa katika Chumba chao walioko ( walikowekwa ) Umakini wa Kiulinzi umewekwa ili Wambea kama nyie msiingie au hata Kuchungulia kwa ndani muone wanavyouguza Vidonda vyao, Kuvalishwa Bandage na Kulia kwa kupakwa Spirit Ugokoni.
Kuna kofia inaitwa beret Sasa ipo yenye rangi ya maroon. Hao ndiyo wang'oa visikicode kubwa kwangu ni wazee wa morogoro. Hakuna wa kufungua hii
Duh!... Kumbe ni ukweli ?Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo tu Wakasafishe hilo Eneo bali Wakangoe hadi Visiki na kusiwe na Takataka zozote tena.
Wengine ( akina GENTAMIYCINE ) mtusamehe tu kwani tuna Upako wa kupata Taarifa tena za Ndani kabisa ama kutoka kwa Watendaji au Mabosi zao huku wakiwa hawajui kuwa huyo wanayemsimulia na kumwambia kwa Kujiamini kwao kabisa ndiyo GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums.
Ngoja niandae Uji wa Mgonjwa LMH.
Hata mimi najiuliza sana, maana hii helikopta kila muda inakula route kama daladala....Kuna hii helikopta inapitaga hapa kudizaini uelekei ni huko nn? Teheteh kibeteh
Maroon ile (damu ya Mzee), Red wanapigilia wazee wa nidhamu (45minutes)Ile maroon au nyekundu boss ?
Wacha tuonw inakuajeHata mimi najiuliza sana, maana hii helikopta kila muda inakula route kama daladala....
Nani aliyeuawa ambae hakuwa na hatia mjinga wewe? Uliwahi kufika hapo kibiti wakati ule kenge wewe? Mambo ya kiume yaache kwa wanaume wewe ivae pedi hiyoUmesema kweli ule ulikuwa ukosefu wa weledi,kuua wauza uji Kwa mgongo wa kusafisha ni dhulma .
Bora Mungu alipotulipia kisasi.
Kama hujui vitu tulia soma tu comments za wengine ujifunze kijanaKwa akili yako lile sakata la mkiru(mkuranga,kibiti,rufiji) lililopita,Kama rais angesema hatua zozote zisichukuliwe ni kweli vyombo vya ulinzi na usalama vingeacha!?..rais anajua nini kuhusu ulinzi na usalama!?