Eng Hersi aanza Kwa spidi apangua Sheria huko CAF

Eng Hersi aanza Kwa spidi apangua Sheria huko CAF

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
[emoji599]Kuanzia Msimu ujao, mchezaji atakayesajiliwa Dirisha Dogo ataruhusiwa kucheza Michuano ya CAF katika Timu yake mpya hata kama mchezaji huyo alishacheza michuano hiyo kwenye Timu aliyotoka

“Effect ya ACA chini ya Brain Eng Hersi[emoji3447]”

Mfano ...makolo wangeweza mchezesha mpanzu Toka kitambo ....kama Hersi angeanza kitambo
1738077871499.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
[emoji599]Kuanzia Msimu ujao, mchezaji atakayesajiliwa Dirisha Dogo ataruhusiwa kucheza Michuano ya CAF katika Timu yake mpya hata kama mchezaji huyo alishacheza michuano hiyo kwenye Timu aliyotoka

“Effect ya ACA chini ya Brain Eng Hersi[emoji3447]”

Mfano ...makolo wangeweza mchezesha mpanzu Toka kitambo ....kama Hersi angeanza kitamboView attachment 3216714

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwani Mpanzu hakuchezea Simba mechi za mwanzo kwa kuwa alikuwa amechezea timu nyingine au kwa kuwa alikuwa hajasajiliwa?

Bongo zenu zimejikita kwenye propaganda ndiyo maana mna uwezo mdogo sana wa kujenga hoja.
 
Kwani Mpanzu hakuchezea Simba mechi za mwanzo kwa kuwa alikuwa amechezea timu nyingine au kwa kuwa alikuwa hajasajiliwa?

Bongo zenu zimejikita kwenye propaganda ndiyo maana mna uwezo mdogo sana wa kujenga hoja.
Kikubwa ni Kwamba... engil hersi apongezwe

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwani Mpanzu hakuchezea Simba mechi za mwanzo kwa kuwa alikuwa amechezea timu nyingine au kwa kuwa alikuwa hajasajiliwa?

Bongo zenu zimejikita kwenye propaganda ndiyo maana mna uwezo mdogo sana wa kujenga hoja.
Umenuna
 
Hilo ni wazo lililopo siku nyingi lilishajadiliwa kitambo kabla utopolo ikiwa inacheza ndondocup ila kwakua utopolo wenye akili ni wawiwili tu utaona yeye ndo kaondoa ila yeye kasoma maamumizi tu
 
Back
Top Bottom