GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ungekuwa unanishobokea hapa 24/7?Huna jipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa unanishobokea hapa 24/7?Huna jipya.
Busara ( Hekima ) yako hii haipo Ubongoni mwa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.Hersi alitakiwa kuwaomba radhi wana Yanga.
Unasema tu
samahanini kwa kauli yangu hakika sikudhamilia kuwadhihaki
Mambo yanaisha.
Kati ya watu wenye jeuri ni wale wasioweza kuomba msamaha
Msamaha unaombwa hata kama hujakosea, una angalia tu jamii imechukuliaje neno au tendo lako.
Bado huna jipyaUngekuwa unanishobokea hapa 24/7?
Zwazwa atakuwa ni yule Aliyekuzaa!!!Bado huna jipya
Kwa hiyo threads zako zinapaswa kusomwa na mazwazwa wenzako?
Weka angalizo kabisa ili wenye akili tuzipitie mbali.
Ignore list inakuhusu
Jibu ni Moja tu anasimamia maslai ya GSM, yaani yanga ni kitegauchumi cha GSM ndio maana Wala mihogo hawana nguvu ya kusema.Hivi Hersi anasimamia maslahi ya Yanga au GSM?
Kuna haja ya kupeleka suala la uongozi wa Hersi BMT. Kuna mgongano wa maslahi ya Wazi ya Hersi kufanya kazi kote sehemu mbili, GSM na Yanga!
Acha majungu yako, kwanza kadi yenyewe hunaKitendo cha Rais wa klabu yetu pendwa ya Young Africans au yanga kutuita sisi mashabiki wake wala mihogo, ni kutudhalilisha, kutufedhehesha, kutudharau na kutuona hatuna maana.
Inauma sana kwa kweli leo hii sisi ni wakuitwa wala mihogo ambao hatufai kuchangia chochote kisa tumekula mihogo. Na je vipi kuhusu wanachuo wanaoshindia mihogo kwa wingi wao nao hawana nafasi pale yanga kisa mihogo.
Mihogo kama chakula kizuri cha wanga kimedhalilishwa na Eng. Hersi raisi wa yanga kuwa muungwana ujiuzulu nafasi yako tutafte raisi mwingine ambaye atakuwa ni muungwana asiye na kashfa na sio kutudhalilisha sisi mashabiki wake.
Hakuna kuomba msamaha hao ni mazuzu walisahili kutukanwa kwani kula mihogo ni tusi,?Hersi alitakiwa kuwaomba radhi wana Yanga.
Unasema tu
samahanini kwa kauli yangu hakika sikudhamilia kuwadhihaki
Mambo yanaisha.
Kati ya watu wenye jeuri ni wale wasioweza kuomba msamaha
Msamaha unaombwa hata kama hujakosea, una angalia tu jamii imechukuliaje neno au tendo lako.
Mihogo ni bora kuliko hivyo vyote! mihogo ni chakula original cha asili! Ni ulimbukeni tu kudhani kuwa hivyo vitu hivyo vya kigeni vina tija yoyote. Sana sana ni kusababisha matatizo ya kisukari, presha na matatizo ya moyo! Yanga furahieni sifa ya wala mihogo!Kama GSM mwenyewe ametulia na anakula mabaga,mapiza,mayonaizi ,makoronya,matambi,ma eggs chop,makababu na machapati chapati na amewekeza Bs ametulia tuli iweje wewe mla mihogo unalalamika?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Inauma sana kwa nafasi pale yanga kisa mihogo.
Mihogo kama chakula kizuri cha wanga kimedhalilishwa na Eng. Hersi raisi wa yanga kuwa muungwana ujiuzulu nafasi yako tutafte raisi mwingine mla mihogo ambaye atakuwa ni muungwana asiye na kashfa na sio kutudhalilisha sisi mashabiki wake wala mihogo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtani Shadeeya Njoo uone huku rais kalianzishaWala mihogo fcView attachment 2406411
Kuingiziwa hogo la Jang'ombe nako siyo jambo jemaBora kula mihogo kuliko mwanaume mzima kulambishwa ice cream
Huna ulijuwalo, Hersi amemuowa Dada yake GSM.Eng. Hersi hana hela ww. Mwenye hela ni mdhamini GSM. Yeye ni mfanyakazi tu wa GSM, tuki amua kuwasha moto ana ondoka..na GSM ana baki.