Eng. Hersi ajiuzulu nafasi yake ya urais kwa kututusi sisi wanayanga!

Eng. Hersi ajiuzulu nafasi yake ya urais kwa kututusi sisi wanayanga!

Hapana, Dr Slaa ndiye aliyesema anashindia mihogo na maharage hivyo hajaongwa, akimaanisha anaishi Maisha ya kimaskini. Ndipo hapo chadema wakaanza kumuita Dr Mihogo.

[,QUOTE="wa kupuliza, post: 44203806, member: 88736"]
Dr. Slaa mwenyewe alivyoondoka CHADEMA then wanachadema walianza kumuita ni Dr. Mihogo.

Labda aliiheshimisha Mihogo.
[/QUOTE]
O
 
Ndivyo alivyomaanisha na mashangazi wa simba wameanza kutukebehi kuwa sisi ni wala mihogo kama nguruwe inauma sana kama nyinyi mlipoitwa mbumbumbu!
Kwani uwongo hamli mihogo? Huyu hapa mwenzenu Tati Mkuu anadumisha mila na desturi ya utopolo
IMG-20221103-WA0020.jpg
 
Kitendo cha Rais wa klabu yetu pendwa ya Young Africans au yanga kutuita sisi mashabiki wake wala mihogo, ni kutudhalilisha, kutufedhehesha, kutudharau na kutuona hatuna maana.

Inauma sana kwa kweli leo hii sisi ni wakuitwa wala mihogo ambao hatufai kuchangia chochote kisa tumekula mihogo. Na je vipi kuhusu wanachuo wanaoshindia mihogo kwa wingi wao nao hawana nafasi pale yanga kisa mihogo.

Mihogo kama chakula kizuri cha wanga kimedhalilishwa na Eng. Hersi raisi wa yanga kuwa muungwana ujiuzulu nafasi yako tutafte raisi mwingine ambaye atakuwa ni muungwana asiye na kashfa na sio kutudhalilisha sisi mashabiki wake.
Kula mihogo ni tusi?
 
Kama GSM mwenyewe ametulia na anakula mabaga,mapiza,mayonaizi ,makoronya,matambi,ma eggs chop,makababu na machapati chapati na amewekeza Bs ametulia tuli iweje wewe mla mihogo unalalamika?
Uto mnadeka sana aisee
Kwani hamli mihogo bana?

GENTAMYCINE ni lini mgongowazi waliacha kula mihogo?
 
Club wameiweka mfukoni sahv
Lazima wawadharau,hv nyie wanachama mnatoa nini

Ova
 
Ile kauli ni ya dharau sana kwetu wana Yanga.

By the way Eng. Hersi ni msomali, amesoma chuo IFM, na Mke wake kaoa msomali. Arudi huko kwao wanako sombwa kwenye malori kama ng'ombe. Yanga ipo na itakuwepo bila yeye. Dr. Msolla Mshindo aka itengeneza timu.
Tukiamua kudai timu yetu tuta mtimua arudi kwao SOMALIA.
Nyie hmn la kufanya
Wao ndy matajir wenu

Ova
 
Fair play haina unafiki na kushoboka.
Wewe si ulisema kinanuka soon Avic?
Pumbavu nilisema Kinanuka Soon au nilisema kuwa ndani ya Wiki Moja baada ya Mechi yao ya Juzi na Club Africaine mpaka ile ya marudiano Jijini Tunis nchini Tunisia tarehe 9 Novemba Kocha Nabi lazima atafukuzwa tu?

Je, Mechi hiyo ya marudiano imeshapita? Kusema soon Kwako Wewe damn Fool ni Kumaanisha Siku hiyo hiyo? Huniamini na Unanichukia lakini bado kila Siku ( 24/7 ) ukiwa hapa ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima tu usome Mada ( Threads ) zangu.

Kumbe nikiwa Nawadharau mno huwa sikosei na nakuwa sahihi 100% kabisa.
 
Pumbavu nilisema Kinanuka Soon au nilisema kuwa ndani ya Wiki Moja baada ya Mechi yao ya Juzi na Club Africaine mpaka ile ya marudiano Jijini Tunis nchini Tunisia tarehe 9 Novemba Kocha Nabi lazima atafukuzwa tu?

Je, Mechi hiyo ya marudiano imeshapita? Kusema soon Kwako Wewe damn Fool ni Kumaanisha Siku hiyo hiyo? Huniamini na Unanichukia lakini bado kila Siku ( 24/7 ) ukiwa hapa ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima tu usome Mada ( Threads ) zangu.

Kumbe nikiwa Nawadharau mno huwa sikosei na nakuwa sahihi 100% kabisa.
Huna jipya.
 
Hersi alitakiwa kuwaomba radhi wana Yanga.
Unasema tu

samahanini kwa kauli yangu hakika sikudhamilia kuwadhihaki

Mambo yanaisha.
Kati ya watu wenye jeuri ni wale wasioweza kuomba msamaha

Msamaha unaombwa hata kama hujakosea, una angalia tu jamii imechukuliaje neno au tendo lako.
 
Back
Top Bottom