King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kama GSM mwenyewe ametulia na anakula mabaga,mapiza,mayonaizi ,makoronya,matambi,ma eggs chop,makababu na machapati chapati na amewekeza Bs ametulia tuli iweje wewe mla mihogo unalalamika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tengua kauli yako King Kong III inamaana nikila mihogo siruhusiwi kuchangia hoja yoyote ile juu ya klabu yangu?Kama GSM mwenyewe ametulia na anakula mabaga,mapiza,mayonaizi ,makoronya,matambi,ma eggs chop,makababu na machapati chapati na amewekeza Bs ametulia tuli iweje wewe mla mihogo unalalamika?
Tengua kauli yako King Kong III inamaana nikila mihogo siruhusiwi kuchangia hoja yoyote ile juu ya klabu yangu?
Kabla ya gsm yanga ilikuepo na hata akiondoka yanga itakuepo. Yanga mi mashabiki wake ndio maana tunajivunia klabu yetu na ndio fahari ya Tanzania. Hersi kama amekosea lazima ajiuzulu nafasi yake kwa maana watu wanawekeza kwasababu ya mashabiki. Kwanini wasingeenda kuwekeza kmc au toto africans?Mantiki kwamba aliyewekeza Bs halalamiki ,iweje wewe haujawekeza hata senti 5 ya nyerere na mla mihogo ulalamike?
Hakuna tusi hapo.Kitendo cha raisi wa klabu yetu pendwa ya Young Africans au yanga kutuita sisi mashabiki wake wala mihogo, ni kutudhalilisha, kutufedhehesha, kutudharau na kutuona hatuna maana. Inauma sana kwa kweli leo hii sisi ni wakuitwa wala mihogo ambao hatufai kuchangia chochote kisa tumekula mihogo. Na je vipi kuhusu wanachuo wanaoshindia mihogo kwa wingi wao nao hawana nafasi pale yanga kisa mihogo. Mihogo kama chakula kizuri cha wanga kimedhalilishwa na Eng.Hersi raisi wa yanga kuwa muungwana ujiuzulu nafasi yako tutafte raisi mwingine ambaye atakuwa ni muungwana asiye na kashfa na sio kutudhalilisha sisi mashabiki wake.
Kabla ya gsm yanga ilikuepo na hata akiondoka yanga itakuepo. Yanga mi mashabiki wake ndio maana tunajivunia klabu yetu na ndio fahari ya Tanzania. Hersi kama amekosea lazima ajiuzulu nafasi yake kwa maana watu wanawekeza kwasababu ya mashabiki. Kwanini wasingeenda kuweka kmc au toto africans?
Ulitaka achaguliwe masikini? mpira ni pesaKwa kifupi kinachowakuta mashabiki wa Yanga SC naweza kusema mmevuna mlichopanda.
Huyo Hersi mlimchagua kwasababu ya pesa zake, naamini hiyo ndio sababu kubwa..
Nae akajua hawa wachovu wamenichagua kwa kishindo sababu ya pesa zangu, sasa leo amewaita wala mihogo msikasirike, kiukweli mihogo ndio chakula chenu kikuu hata kabla Hersi hajaja.
Ningewashauri tu, kwanza muoneshe heshima kwa mihogo iliyotajwa, lakini pia, mumshukuru bosi wenu kwa kujua chakula chenu kikuu ni kipi, kumbuka mihogo ndio iliwalea kabla Hersi hajaja Yanga.
Mabegani...Wacheni unafiki wenu kwani kweli hamli mihogo? Mbona Haji Manara aliyewaita nyie hamnazo mnamchekea? Hersi haendi popote. Mlimbebea nini?View attachment 2405972
Tatizo lipo kwenye kauli kwamba wala mihogo hatupaswi kushauri chochote katika yanga. Na GSM kuwekeza ni kwasababu ya mashabiki wa yanga hivo anajua kuna profits anazozipata hakuna mtu ambaye anawekeza bila kutarajia faida. Hersi ametukosea ajiuzulu nafasi yake waje wengine ambao watatambua umuhimu wa mashabiki katika klabu.GSM ndio mwenye uchungu ,mbona enzi za papa zahera tulikuwa tunatembeza bakuli? Eng yupo sahihi kutoa hiyo kauli kwa mashabiki maandazi(feki fans -shabiki wa makolo) wanaojifanya ni yanga....Mimi ni yanga lakini sijaona tatizo kwa kauli ya eng.
Tatizo lipo kwenye kauli kwamba wala mihogo hatupaswi kushauri chochote katika yanga. Na GSM kuwekeza ni kwasababu ya mashabiki wa yanga hivo anajua kuna profits anazozipata hakuna mtu ambaye anawekeza bila kutarajia faida. Hersi ametukosea ajiuzulu nafasi yake waje wengine ambao watatambua umuhimu wa mashabiki katika klabu.
Sio mbakula chakula ya nguruwe. Ninyi ni nguruwe kasoro mkia hahahaaTafadhali sana tengua kauli yako na utuombe radhi sisi mashabiki wa yanga. Kwahyo sisi mashabiki wa yanga tunakula chakula cha nguruwe.
Kwani mihogo ina shida gani, mbona ni chakula kizuri tu! Au angewaita wala chipsiKitendo cha raisi wa klabu yetu pendwa ya Young Africans au yanga kutuita sisi mashabiki wake wala mihogo, ni kutudhalilisha, kutufedhehesha, kutudharau na kutuona hatuna maana. Inauma sana kwa kweli leo hii sisi ni wakuitwa wala mihogo ambao hatufai kuchangia chochote kisa tumekula mihogo. Na je vipi kuhusu wanachuo wanaoshindia mihogo kwa wingi wao nao hawana nafasi pale yanga kisa mihogo. Mihogo kama chakula kizuri cha wanga kimedhalilishwa na Eng.Hersi raisi wa yanga kuwa muungwana ujiuzulu nafasi yako tutafte raisi mwingine ambaye atakuwa ni muungwana asiye na kashfa na sio kutudhalilisha sisi mashabiki wake.