Eng. Hersi ajiuzulu nafasi yake ya urais kwa kututusi sisi wanayanga!

Eng. Hersi ajiuzulu nafasi yake ya urais kwa kututusi sisi wanayanga!

Nchi hii ukiwa kanjanja ndo unaula. Wenye nia na weledi wapo viti vya mzunguko hersi ndo mwenyekiti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unafiki kulalama wakati ni haki yetu? Wewe ulipoitwa mbumbumbu mbona haraka mlianza harakati za kumuondoa rage?
Mtani, sijakataa wewe kulalama. Hoja yangu ni kua kwanini siku ile mlicheka na kufurahi na mkasubiri mpaka mpate matokeo yasiyowaridhisha?

Btw uwaneni tu na Hongereni kwa kuongeza unbeaten.
 
Eng. Hersi hana hela ww. Mwenye hela ni mdhamini GSM. Yeye ni mfanyakazi tu wa GSM, tuki amua kuwasha moto ana ondoka..na GSM ana baki.
Hersi ndie mfereji wa pesa kuzitoa GSM na kuzifikisha Yanga.
 
Kwanini mihogo iwe ni kielelezoncha umaskini ndio hoja yangu kuu? Ndio maana nasema raisi wa yanga awe muungwana ma ajiuzulu nafasi yake.
Hata Dr. Slaa alipofurushwa kutoka kwenye chama chake, alilia njaa na kusema anakula mihogo na maharagwe.
 
Hivi Hersi anasimamia maslahi ya Yanga au GSM?

Kuna haja ya kupeleka suala la uongozi wa Hersi BMT. Kuna mgongano wa maslahi ya Wazi ya Hersi kufanya kazi kote sehemu mbili, GSM na Yanga!
 
Kitendo cha Rais wa klabu yetu pendwa ya Young Africans au yanga kutuita sisi mashabiki wake wala mihogo, ni kutudhalilisha, kutufedhehesha, kutudharau na kutuona hatuna maana.

Inauma sana kwa kweli leo hii sisi ni wakuitwa wala mihogo ambao hatufai kuchangia chochote kisa tumekula mihogo. Na je vipi kuhusu wanachuo wanaoshindia mihogo kwa wingi wao nao hawana nafasi pale yanga kisa mihogo.

Mihogo kama chakula kizuri cha wanga kimedhalilishwa na Eng. Hersi raisi wa yanga kuwa muungwana ujiuzulu nafasi yako tutafte raisi mwingine ambaye atakuwa ni muungwana asiye na kashfa na sio kutudhalilisha sisi mashabiki wake.
Kwahyo mkiambiwa ukweli mnakasirika.
 
Mihogo mbona mitamu sana ikaangwe na kachumbari? Sema the way ameongea ndo inaleta sintofahamu
 
Mihogo mbona mitamu sana ikaangwe na kachumbari? Sema the way ameongea ndo inaleta sintofahamu
Huo ndio uhalisia wa mambo kwamba sisi ni kama manguruwe? Yaani ukila mihogo unaonekana nguruwe inaumiza sana hersi ajiuzulu nafasi yake.
 
Mihogo Fc
Polish_20221103_162444937.jpg
 
Huo ndio uhalisia wa mambo kwamba sisi ni kama manguruwe? Yaani ukila mihogo unaonekana nguruwe inaumiza sana hersi ajiuzulu nafasi yake.
Kwani kawaita Nguruwe? Au watu sasa ndo wanasema wao
 
Kwani kawaita Nguruwe? Au watu sasa ndo wanasema wao
Ndivyo alivyomaanisha na mashangazi wa simba wameanza kutukebehi kuwa sisi ni wala mihogo kama nguruwe inauma sana kama nyinyi mlipoitwa mbumbumbu!
 
Ndivyo alivyomaanisha na mashangazi wa simba wameanza kutukebehi kuwa sisi ni wala mihogo kama nguruwe inauma sana kama nyinyi mlipoitwa mbumbumbu!
Mashangazi tena? πŸ˜€ πŸ˜€
 
Back
Top Bottom