Dah ubebe jembe ukalime kuliko huu upuuzi walioufanya sasa Leo wamepata walichostaili
Kumbe wanga inayopatikana kwenye mihogo ndo inatumika kumbeba alisahau
Mtu fitini ni hatari kuliko mchawi. Wewe ni Simba mambo ya kuwafitinisha ndugu ni uchawi. Naikemea hiyo roho ya uchawi iliyomo ndani yako, ishindweView attachment 2405521
View attachment 2405525
Hizi jeuri zinatoka wapi. Huku ni kulewa madaraka na kutukana watu kuita wala mihogo. Kwani mihogo ina tatizo gani mpaka uitumie kutukania?
ππππ
Hamjatukanwa mmesifiwa! Mbona unalazimisha iwe umetukanwa?View attachment 2405521
View attachment 2405525
Hizi jeuri zinatoka wapi. Huku ni kulewa madaraka na kutukana watu kuita wala mihogo. Kwani mihogo ina tatizo gani mpaka uitumie kutukania?
ππππ