Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

Siyo born town wa msoga wala GSM mwenye ubavu wa kutunishiana misuli na Rais ..kwa bara la Africa Rais ndio kila kitu amna wa kumpinga
 
Ombi la rais ni sheria.
 
Ndiyo muelewe kwa nini FIFA inakataza serikali kuingilia mambo ya mpira wa miguu. Mlikata miuno kupewa ndege,mamilioni ya magoli na kualikwa kwenda kufakamia pilau la ikulu. There is no free dinner.
FIFA haikatai pesa za hamasa wala klabu kusafirishwa kwandege za hisani.

FIFA inakataza serikali kuingilia au kuathiri maamuzi ya sokaa.
 
Inashagaza sana.

Ni ujinga ulio pitiliza yaani.
 
Ndio hapo sasa wanakuja kulia lia hapa.
 
Yanga ni waoga Sana Kama FEI Toto hawataki walitakiwa kutangaza Bei ya kumuuza,, lkn wao wamebaki na aje tukae mezani tumalizane au timu inayomtaka iende ikaonanenao??suala Kama Hili halikuhitaji watu wakae mezani wanywe KaHawa.. ilikuwa ni biashara FEI anauzwa ml 500..timu inayomtaka ije ilipe biashara ifanyikeee..ohh turudi mezani.. kuna chakula umeandaa??
 
Mhhh kwahyo itakuaje sasa na dogo hamtaki herisi saidi
 
Yan
Yanga kiuhalisia hawakua na mpango wa kumuachia dogo walikua wanataka kipaji kipotee na wamchafue dogo. Hayo yote walikua wanaelewa utaratibu mzima na kwann wasikae nae toka sakata limeanza? Yaani bongo bado kwenye mpira tuna kaujing aka kuwekana chini kisa mambo ya ajabu ajabu tu
 
Kwani nani alimuomba atupatie ndege?
Kwani nani alimuomba incentives za magoli?

Hawezi kulaghai taasisi kwa dinner ya Milioni 200.
Yale mabango ya "Asante mama" yaliyojaa uwanjani siku ya fainali kwa mkapa ni ishara ya kwamba mlikuwa mnaunga mkono siasa kwenye michezo, kwasasa mnajifanya kupinga kwasababu limeng'ata upande wenu sio?


Sioni wa kuuendeleza huo mgogoro baada ya hiyo kauli ya Rais, kama kweli Hersi ana huo uwezo unaojaribu kusema hapa, itokee interview yoyote uone kama atalizungumzia swala la FEI kwa ngebe kama zamani.
 
FIFA haikatai pesa za hamasa wala klabu kusafirishwa kwandege za hisani.

FIFA inakataza serikali kuingilia au kuathiri maamuzi ya sokaa
Unahangaika ukiwa wapi?? Kwani hako si maombi tu kunasehem ameforce...ila tupo hpa nyumbani karib mtupe mrejessho...
 

Sasa endelea kubishana na Mamlaka ya nchi. Maana wabongo huwa mnaubishi wa ujuaji mwingi.

Sio kila misingi ni lazima isimamiwe, ndio maana umepewa brain......thinking na busara ni muhimu.

Rais ametoa MAELEKEZO, hupaswi kujadili maagizo ya Rais, Bali anatakiwa kutafuta njia bora ya kuyatekeleza in mutual understanding.

Otherwise, aendele kupuuza na kubaki kwenye misingi yake.
 
Ukila vya mbwa uwe na mbio kama huna mbio utaliwa tuu, huyo jamaa hana pa kutokea kwenye hilo lazima afuate maelekezo, yule dogo anarudi utopoloni
 

Ko wachezaji wote hivi sasa kwenye mikataba yao wawe nakipengele hiko ili wakiona hawataki kuendelea na klabu zao basi wabadilishe TABIA au WAISALITI timu ili waachiwe huru kirahisi..?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na umshauri aache kuomba eneo la uwanja pale jangwani ,akanunue eneo Kama Simba walivyonunua Bunju
 
Achana nao mkuu GSM akiambiwa achague kati ya biashara zake na Fei toto unafikiri atachagua nini?
 
Mbona kuna wakuu wa wilaya waliteuliwa wakagoma kwenda kuripoti na hawajafanywa kitu.
Yanga wanaweza kukataa ombi la Bi.mkubwa.mwambie engineer akatae!!
Ombi la rais ni sheria.
 
Usiseme; "Rais hana ufahamu wa kinachoendelea baina ya mgogoro uliopo kati ya Yanga na Faisal"

Rais ni taasisi,anapata information zote,mpaka kufikia kuliongelea hilo,ujue anazo info zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…