Ukiona over reaction ya mashabik wenu jana na namna yanavyotokwa povu ndo utaamin kwel huwa hamjielew .....kwamba mpira una matokeo matatu...mtu anadiriki kutukana kisa timu imetoa sare...kiujumla hamna uvumilivuSisi mashabiki wa Yanga tuna imani na timu yetu! Ishinde, itoe sare! Ifuzu! Ishindwe kufuzu! Bado Tutaiunga mkono mwanzo mwisho! Na wala hatushwi na kelele kutoka kwa mashabiki wa timu nyingine, na wasio jitambua.
Maumivu ya kichwa huanza taratibu ,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Senzo anaingia vipi hapo kama sio ukichaa?
Makundi yepi tena na ndio mmeshamaliza?Nabi aondoke kwenye klabu yetu, maana kashindwa kutimiza majukumu ya kimataifa
Tutafuzu makundi kwa mwendo huu kweli?
Swali la mkosaji hiloSamahan hv timu yetu ya simba inamakombe mangapi ya kimataifa
Yale majigambo.?Sisi mashabiki wa Yanga tuna imani na timu yetu! Ishinde, itoe sare! Ifuzu! Ishindwe kufuzu! Bado Tutaiunga mkono mwanzo mwisho! Na wala hatushwi na kelele kutoka kwa mashabiki wa timu nyingine, na wasio jitambua.
Ukiona over reaction ya mashabik wenu jana na namna yanavyotokwa povu ndo utaamin kwel huwa hamjielew .....kwamba mpira una matokeo matatu...mtu anadiriki kutukana kisa timu imetoa sare...kiujumla hamna uvumilivu
Nuksi kwa nini, naby anaharibu timu yangu.Mijitu mingine nuksi kweli mkuu
Kwani mpira si umechezwa uwanjani, na kila mtu ameona!Yale majigambo.?
Picha ya kitabu inasadifu yaliyomo ndaniYanga ni timu yenye mamilioni ya mashabiki duniani kote! Mashabiki wawili hawawezi kamwe kubeba hisia na dhamana ya mashabiki wengine waliobaki!
Na ndiyo maana mpaka kesho natambua fika siyo mashabiki wote wa simba ni mbumbumbu! Hata mtoa kauli Ismail Aden Rage, naamini na yeye analitambua hilo.
Acha kuvuta bangi. Haikupendi.Nuksi kwa nini, naby anaharibu timu yangu.
Kwa nini toto asimuweke namba kumi
Bangala namba sita
Na kwa nini benard kafanyiwa sub
Kisinda kaingia kwa mpira upi
#π£πππ π€πͺπ©
#πππ§π¨π π€πͺπ©
Endeleeni kujifariji.Picha ya kitabu inasadifu yaliyomo ndani
Kwa akili zetu za usiku ndio maana kimataifa tunapigwa, yaani mimi ni yanga unaniita kolo??Mleta mada wewe ni kolo tafadhali sana usiingilie timu yetu unashindwa nini kumpa mbinu Mgunda na Barbara ili mshinde huko Angola. Kudhihilisha wewe ni kolo na hujui kinachoendelea timu ya wananchi unadhani Senzo bado anafanya kazi Yanga sc.