BANENI TOM
Member
- Dec 14, 2023
- 5
- 36
Poleni Young Africans lakini huo ndiyo ukweli ambao wengi wenu hawataki kuusikia kamwe!.
Msimu huu wa Mwaka 2023/2024 Bingwa wa ligi ya NBC ni AZAM SPORTS CLUB!.
Naomba kama kuna mtu anabisha kuhusu hili suala awake pesa ili tusibishane kwa maneno!.Ndugu zangu mimi ni shabiki lialia wa Mnyama wa mwituni mwenye njaa kali a.k.a Simba!.
Nimejaribu kuangalia mambo yanayofanywa na viongozi wa Simba yangu a.k.a simba sports club pamoja na mtani wangu wa pale mitaa wa Twiga & Jangwani almaafufu kama Young Africans a.k.a Utopwinyo Utopolo!.
Nilichokuja kugundua ni kwamba,huyo Eng Hersi ni muhuni kama wahuni wengine waliopita pale Young Africans,hakuna cha kujenga Uwanja wala bibi yake na Uwanja!.
Eng Hersi ashukuru sana yule Kocha Nabi kumpeleka Fainali kwenye Kombe la waliofeli la shirikisho lakini tofauti na hapo alikuwa anaula wa chuya!
Eng Hersi hivi sasa hakuna cha maana atakachokifanya zaidi ya kuwaongopea Nyuma Mwiko atafanya makubwa kama anavyotuongopea Mangungu na mjinga mwenzie Mangungu!.
Hizi timu za Kariakoo siyo kwamba zinashindwa kujenga viwanja vyao wenyewe sema shida ni tantarira za kufa mtu!.
Siku azam wakiwa na akili timamu nitaanza rasmi kuwashabikia azam lakini kwa sasa ngoja niwape muda Utopolo & makolo nione kama watabadirika!
Makolo -Ujenzi wa Uwanja Bunju
Utopolo - Ujenzi wa Uwanja Kaunda
Msimu huu wa Mwaka 2023/2024 Bingwa wa ligi ya NBC ni AZAM SPORTS CLUB!.
Naomba kama kuna mtu anabisha kuhusu hili suala awake pesa ili tusibishane kwa maneno!.Ndugu zangu mimi ni shabiki lialia wa Mnyama wa mwituni mwenye njaa kali a.k.a Simba!.
Nimejaribu kuangalia mambo yanayofanywa na viongozi wa Simba yangu a.k.a simba sports club pamoja na mtani wangu wa pale mitaa wa Twiga & Jangwani almaafufu kama Young Africans a.k.a Utopwinyo Utopolo!.
Nilichokuja kugundua ni kwamba,huyo Eng Hersi ni muhuni kama wahuni wengine waliopita pale Young Africans,hakuna cha kujenga Uwanja wala bibi yake na Uwanja!.
Eng Hersi ashukuru sana yule Kocha Nabi kumpeleka Fainali kwenye Kombe la waliofeli la shirikisho lakini tofauti na hapo alikuwa anaula wa chuya!
Eng Hersi hivi sasa hakuna cha maana atakachokifanya zaidi ya kuwaongopea Nyuma Mwiko atafanya makubwa kama anavyotuongopea Mangungu na mjinga mwenzie Mangungu!.
Hizi timu za Kariakoo siyo kwamba zinashindwa kujenga viwanja vyao wenyewe sema shida ni tantarira za kufa mtu!.
Siku azam wakiwa na akili timamu nitaanza rasmi kuwashabikia azam lakini kwa sasa ngoja niwape muda Utopolo & makolo nione kama watabadirika!
Makolo -Ujenzi wa Uwanja Bunju
Utopolo - Ujenzi wa Uwanja Kaunda