Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Dakika siyo sekunde

Ndio sababu Wavuvi walistaajabu kwa sababu alitumia mkono mmoja Kuokoa watu
 
Tatizo wanasiasa wamechukua majaliwa Kama mwamvuli wa kufichia ule uzembe wao ambao walipaswa kuwajibika
 
Aliye quote naye kapotosha jamaa alishika mlango kwa mkono ila ulipewa balance na mtumbwi so yeye alishika tu wakati wengine wanaokoa watu ila sio kwamba aliweka mguu more so dakika zote 60!! Hizi media zetu Nazo ni tatizo.
 
Aliye quote naye kapotosha jamaa alishika mlango kwa mkono ila ulipewa balance na mtumbwi so yeye alishika tu wakati wengine wanaokoa watu ila sio kwamba aliweka mguu more so dakika zote 60!! Hizi media zetu Nazo ni tatizo.
Victor kasema Hata yule mtoto mdogo alimuokoa kwa kumshika na kidole

Ndio sababu anamtukuza Mungu
 
Kweli Riziki yoyote lazima Nongwa ihusike Wallah....

Majaliwa ndiyo huyo...Aliyepewa amepewa tu...
Mama ukitulia vizuri wanao hoji wana hoja.
Na kama unaifaham hiyo ATR utakubaliana na hoja za wanao hoji.

Mlango wa ndege hii kamwe huwezi kuufungua kwa kwa kuupiga kumbika huwa unafunguka kuja chini na kugeuka kuwa ngazi.
Lazima ufunguliwe kutoka ndani tena kwa kusukumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…