Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mi nilikuwa natumia 20w50 ila nikaweka 5w30 nimeona very big improvement kwenye consumption ya mafuta.Noma sana Noma imesoma makilomita balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilikuwa natumia 20w50 ila nikaweka 5w30 nimeona very big improvement kwenye consumption ya mafuta.Noma sana Noma imesoma makilomita balaa
Nataka nijaribu hii 5w30,mana haiwezekan KM 40 wese lita 3, 1790cc😁Mi nilikuwa natumia 20w50 ila nikaweka 5w30 nimeona very big improvement kwenye consumption ya mafuta.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahah hilo ni jini, mi mwenyewe kuna wakati nilikuwa naona kama uchawi gari inakula mafuta kichizi.Nataka nijaribu hii 5w30,mana haiwezekan KM 40 wese lita 3, 1790cc😁
Ulitaka lita 3 iende km ngapi?Nataka nijaribu hii 5w30,mana haiwezekan KM 40 wese lita 3, 1790cc[emoji16]
mwezi ujao nina service kubwa nitajaribu kufanya hii kitu mkuu.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahah hilo ni jini, mi mwenyewe kuna wakati nilikuwa naona kama uchawi gari inakula mafuta kichizi.
Kumbe nimegundua hata oil nzito inasababisha hayo. Sahizi at idle rpm inatulia kwenye 600 bila kokoro. Ukiwasha ac inakuwa 800.
Cheki Plug huenda za kifoo au zimekufa, nimeweka NGK ila naona zinaniletea umandazi nataka nirudishe Denso kama nilizotoa.
kwa uzoefu wako unasemaje?Ulitaka lita 3 iende km ngapi?
Freshi freshi, iko kwenye body gani hio engine?mwezi ujao nina service kubwa nitajaribu kufanya hii kitu mkuu.
Hapa Sijakusoma chiefFreshi freshi, iko kwenye body gani hio engine?
Engine iko kwenye voltz, spacio, premio, allion, opa au vista?Hapa Sijakusoma chief
Premio bossEngine iko kwenye voltz, spacio, premio, allion, opa au vista?
Yah kuna haja ya kufuatilia plugs, filters na oil. Sio ulaji wa kawaida huo kwa premio.Premio boss
Puma na Total tu
Wakuu kuna hii gari nimeagiza sasa natafakari ni namna gani ntapata chaguo sahihi la oil ya engine.
Nimejaribu ku google maana mi ist yangu engine yake ni 2NZ sasa majibu ya google yanakuja kama hivi. 5W-30 na 10W-30 kwamba ndo recommended fuel engine kwa engine ya namna hiyo.
Ila katika kupeleleza zaidi kati ya 5W-30 na 10W-30 nikakuta kwamba 5W-10 inatumika kwenye majira ya baridi of which inaweza isiwe chaguo zuri kwangu kwakuwa bongo baridi sio kivile.
Hiyo 10W-30 ndo imekuwa indicated kwamba inatumika zaidi kwenye majira ya joto of which naona kama itaendana na mazingira ya bongo.
NOTE: Kuna hii oil ya 15w40 ambayo nimeona wanaisema kwamba inatumika sana kwenye nchi za tropical ila naiogopa kidogo maana wanasema ipo thicker sana angali mimi cc ya gari yangu ni 1.3l sasa naogopa hiyo oil inaweza isisupport hizo cc.
Hapo hapo nikakuta hizi fuel engine kuna wanaziita synthetic na mineral. Ikionekana synthetic iko reliable kuliko hiyo mineral.
Sasa hapa nlikuwa nauliza itakuwa sahihi kutumia kwenye hii IST fuel yenye hizi specification 10W-30 Synthetic? Na je ni brand gani nzuri kutumia? maana leo nimeenda shell wakanionesha brand ya castrol oil.. Sasa ndugu wazoefu itakuwa sahihi kwa gari langu.
Au nyie wenye IST wengine huwa mnatumia engine fuel ya aina gani?
Ntashukuru kwa majibu.
Sasa hapa najiuliza
BAADHI YA MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU
---
---
---
---
Pamoja sana babu umenishauri kitu sikuwazia kabisaYah kuna haja ya kufuatilia plugs, filters na oil. Sio ulaji wa kawaida huo kwa premio.
Du, 20W50 kwenye IST!Mi nilikuwa natumia 20w50 ila nikaweka 5w30 nimeona very big improvement kwenye consumption ya mafuta.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahah hilo ni jini, mi mwenyewe kuna wakati nilikuwa naona kama uchawi gari inakula mafuta kichizi.
Kumbe nimegundua hata oil nzito inasababisha hayo. Sahizi at idle rpm inatulia kwenye 600 bila kokoro. Ukiwasha ac inakuwa 800.
Cheki Plug huenda za kifoo au zimekufa, nimeweka NGK ila naona zinaniletea umandazi nataka nirudishe Denso kama nilizotoa.
Mi sina IST bro. Nina 1ZZ FE vvtiIST yako ni New Model ama Old Model?
Sababu New Model unatakiwa ununue plugs zake genuine nadhani bei Inacheza kwenye elfu 40 ama 50 kwa moja.
Sio IST hio hahahaDu, 20W50 kwenye IST!
Ulikuwa uipendi engine ya gari lako.
Kumbe kale kamlio na taa ya oil kuchelewa kuzima possible ni uzito wa oil?nimeipata total 5w30 synthetic, japo kwa tabu sana, afu kibei kimechangamka kidogo lkn at least i have a peace of mind. ule mlio mkubwaa wa dk kadhaa mara tu ya kuwasha ulikuwa unanipa tabu sana. huku kitaa kwetu wamejaza sae 40 hatari. afu wanavyozisifia sasa. once again thanks boss
Utakuta huyo fundi kaishia darasa la 7 alafu anamshauri mwenye gari.Yaani nimesoma comment za humu nimejua huwa nachomesha engine..IST ya 2003, km 145,000..Oil fundi alinambia nikanunue hiyo hapo...20W -50, naogopa hata kuwasha gariView attachment 2533164