Engine oil gani ni nzuri kwa Gari aina ya IST?

Mi niwekewa ya 20w50 kwnye ist, matumiz yake ni kwenda ofisini na kurudi nyumbani nipo dar,je ni sawa au ndio wananiulia gari?
Siyo sahihi mkuu..na isitoshe matumizi ni ofisini, nyumbani...Fanya kama walivyosshauri wengine
 
Kama engine bado ina hali nzuri <18,000km Tumia mult grade full synthetic 5w-30 ukiikosa chukua 10w-30 achana na SAE 40 hizo ni monograde zina himili joto kali tu, alafu ni nzito hivyo usambaaji wake sio nzuri kwenye ingini hasa pale unapowasha gari hivyo ingine kuwa nzito na kusagika kwa vyuma. Hiyo ni nzuri kwa gari zinazopiga kazi mda mrefu ka daladala au yale ambayo yalishachoka tayari ili kuhimili joto kubwa la ingini na kuzuia friction
 
Nimewekewa engine oil ya total 20w50 kwenye ist, engine 1nz cc 1500 gari imetembea km 190,000.. tafadhali naomba maarifa je ni engine oil sahihi?
 
Hukupaswa kutumia 20w 50 kwa gari ndogo ka iyo ..hizi oil ni kwa heavy duty or load cars au yale ya diesel
 
Hukupaswa kutumia 20w 50 kwa gari ndogo ka iyo ..hizi oil ni kwa heavy duty or load cars au yale ya diesel
Shukran ndugu, naomba ushauri je engine oil sahihi kabisa kwa hiyo "bibi kizee wangu" ni ipi
 
Hongera sana, maana nilpoona tu Society of Automobiles Engineers (SAE). Nikajua utakachoshauri ni sahihi, kwa kuwa umesawasoma hao wataalamu
 
Kwanza hio gari haina engine hio ...
 
Mkuu oil ya gearbox kwenye cami ni ipi
 

Akipuuza huu ushauri wako huyu jamaa hakuna sehem atasaidiwa. Bro umeeleza kwa ufasaha kabisa with facts, safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…