BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #161
sikiliza wanajua nyie mnaabudu matokeo, so wanafabya hivyo kuwavutia yaani ni ulimbo wa kukamata tetere.Kama mtihani sio kipimo, kwa nini umelaani kitendo cha walimu wa English medium schools kukwepesha kuweka mwanafunzi au wanafunzi fulani kushika namba za mkiani?
Wanajua wazazi wanaabudu matokeo ya darasani, bila kijalisha kichwani mtoto ana nini.