Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia wafanyabiashara wakubwa duniani lazima wanajua lugha ya kimataifa angalau Moja yenye wazungumzaji wengi.Wote ninaowajua Mimi biashara Zao ni hizi ndogondogo
Alafu wale wasiojua wao ndio wanaagiza Nje ya nchi
Shule hiyo inaitwaje?Niliwah kufika shule nikajua labda kuna watoto wanapiga ngeli hatar lakin hamna kitu,kwanza walimu wakiona mzazi yupo maeneo ya shule anajifanya kuwaongelesha kiingereza wanafunz na niliona wanafunz hawajibu chochote bali wakawa wanatikisa tu kichwa kama mabubu na kunyoosha mikono kimya kimya
kweli kabisa, wezi wakubwa, wanauza mpaka vi jersey vya michezo, madarasa ya swimming ni uongo uongo mtupu, vi field trip ni vya kitapeli, Kiingereza chenyewe wanafundishwa na waswahili wenzetu wasiokijua kama sisi.Nasomesha Englisha Medoum ila ukweli ni kwamba sijawaji zikubali hizi shule, Shule zimejaa janja janja nyingi sana kuliko kutoa elimu ni full hadaa na wanajua fika kucheza na akili za wazazi wajinga
Sijawaji amini kwamba kuna elimu bora kwenye shule za English medoum, kuna elimu ya kawaida sana na tofauti yake na shiule za Serikali mimi sioni kabisa ukitoa sisi kuwa Barainwashed.
Niliwahi sema humu Baadhi ya hizi shule huwa hazina mtoto wa mwisho yaani kama Darasa lina wanafunzi 40 huwezi ona mtoto wa 40, wanaishia namba 10 na na wanadaia wamefungana. Namba 1 unaweza kuta watoto 10 huu mchezo wazazi hawajaushitukia.
Ukiondoa kupanda Mabasi asubuhi hakuna kingine ambacho nakiona kwa hizi shule. Wengi wanapondea shule za Serikali kwenda na Mifahia na vidumu vya maji ila ni sehemu ya kufundisha watoto na sio adhabu. Ni wazazi wajinga ndio wanao na mtoto kubeba fahioa kwrnda nao shule ni adhabu au ushamba.
Watoro wanakuwa legelege sana, mtoto wa shule ya Serikali anaweza panda Daladala na akenda shule mwenyewe umbali wa km 15 hapa ni mtoto mdogo darasa la 3, hii mtoto wa English medium hawezi, ni sawa na kuku wa Broiler tu. Matoto yanakuwa legelege tu.Basi la shule likiharibika hakuna kwenda shule.
English medium zimejaa janja janja sana, kuanzia kutoa elimu na hadi michango yao ya kihuni. Hakuna Englisha ya maana inafundishwa pale,watoto wanatoka pale wako kawaida sana hakuna maajabu pale.
Kucheza na akili za Wazazi na ziara zao za kwenda vijwana vya ndege kupigisha watoto picha kule ni full ujinga.Wanakuambia ziara za mafunzo, mtoto yuko Baby class anatakiwa atoe sh 50,000 ya ziara ya mafunzo.
Unatoa 50,000/ wanawanunulia watoto chips kavu, biskut na juice za azam, hapo 50,000/ imakata na ni ziara ya ndani ya mkoa. Mtoto anarudi nyumbani full njaaa ukiuliza mtoto anakuambia walitupatia juice, chips na biscut tu.
TumainiShule hiyo inaitwaje?
Well saidTunasomesha kule watoto ili wajue kingereza, lugha ya kimataifa
Ni ushamba sana kujivuna na lugha ya watu ingali kuna kiswahili lugha nzuri tu,Tatizo watz wengi ni kudhani kuwa kujua English ndo kuelimika.
Hiyo English darasa watoto 9 iyo shule sasa! Kumepoa km msibaniHao hawajui wanacho ongelea neendeni vkjijini mjionee hizo shule zakayumba, shule ya watoto 800 ina waalimu watatu matundu ya choo mawili madawati ni tofari za majengo very poor learning environment kama kweli una huruma na mwanao mtafutie shule ya private.
St.Kayumba wanatoka vibaka? Inawezekana ni kweli. Ila huko EM ndo chimbo wanakotokea Mashoga. Elimu ya LGBTQ inahamasishwa sana huko.Kila mtu Yuko huru kusomesha anakopna kunafaa.kuna mwingine atapeleka international,medium mwingine hizo zenu za kayumba ambazo vibaka wengi hutokea huko
Lugha ambayo baada ya kuhitimu Kayumba unaweza kujifunza kwa Ras Simba na ukaimudu vizuri kwa gharama nafuu kabisa.Wabongo wanafuata Lugha na Lugha yenyewe ipo basi? kwenye elimu ni sawa na kayumba tu, sasa tunafuata Lugha.
kabisaLugha ambayo baada ya kuhitimu Kayumba unaweza kujifunza kwa Ras Simba na ukaimudu vizuri kwa gharama nafuu kabisa.
Haaaa kabisaSt.Kayumba wanatoka vibaka? Inawezekana ni kweli. Ila huko EM ndo chimbo wanakotokea Mashoga. Elimu ya LGBTQ inahamasishwa sana huko.
Bado unaamini kwenye matokeo? huko Dunia isha hama kitambo, nchi nyingi ziko kwenye mchakato wa kuachana na huu ujinga na zingine zisha acha.Mie sijashawishika bado otherwise uniambie na yale matokeo ya mitihani ya Necta pia huwa janjajanja