English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

Mtoto wako kusoma English Medium anajiweka karibu na Connections hata ma classmates wake Wanakuwa na asilimia kubwa kufika sehemu flan tofauti na kayumba Mnaanza 100 Watafukuzwa 20 Wataacha 10 zero 50 div 3 zipo 10 div 2 zipo 6 div 1 4 kuna nini hapo? Acha ubahili
Hakuna connection yoyote acha kujiaminisha upumbavu.

Uzuri hizo shule nazifahamu nje ndani.

Hakuna cha connection wala soko la kimataifa wala lugha bora ya kingereza.

Maisha ya kibangaizaji tu sawa na hao wa kayumba ndio end product
 
Mwaka huu kwenye interview nimeingia kwenye panel nakutana na wafaransa watatu wote wanakupiga maswali ndani ya lisaa lizima nguvu na mateso mtu unayopitia hata kujiandaa na kujiumama ni makubwa sitaki fedhea kama hizo ziwakute wanangu.

Tunafanya kazi na waganda watanzania wengi wanajua mambo sana lakini tunadharaulika kisa kujua lugha ambayo imetokana na mifumo mibovu ya st kayumba
Niliwahi kutana na kajamaa goba kwenye bajaji anavitoto vyake vidogo vinatema yai yaani nibalaa
We unawaza kuajiriwa tu utafikiri tupo mwaka 1985.
 
Aset bila Elimu Bora atamalizaa kuhonga zotee na pombe maana discipline ya maisha na umakini wa maamuzi Hana.Ni kweli Kuna kundi la watoto wenye uwezo mkubwa wa kiakili ambao hata bila Mwalimu anafaulu Hawa shule nzima unaweza Kuta 10 kwenye shule ya Watoto 650.

Pima watoto wako ni gifted genius au ugaungaaa?
mbona tumesoma kwenye shule za kayumba na tukatoboa mpk University na kupata hadi Phd.?

Pesa ya kulipia mtoto ada milioni 4 ni bora uwe unamnunulia viwanja kila mwaka ili akikua akute baba yake kashamuandalia assets za kutosha.
A
 
Aset bila Elimu Bora atamalizaa kuhonga zotee na pombe maana discipline ya maisha na umakini wa maamuzi Hana.Ni kweli Kuna kundi la watoto wenye uwezo mkubwa wa kiakili ambao hata bila Mwalimu anafaulu Hawa shule nzima unaweza Kuta 10 kwenye shule ya Watoto 650.

Pima watoto wako ni gifted genius au ugaungaaa?
A
Kwa hiyo akisoma Kayumba hawezi fika University? Mbona unaongea kitu ambacho hukijui?
 
Aset bila Elimu Bora atamalizaa kuhonga zotee na pombe maana discipline ya maisha na umakini wa maamuzi Hana.Ni kweli Kuna kundi la watoto wenye uwezo mkubwa wa kiakili ambao hata bila Mwalimu anafaulu Hawa shule nzima unaweza Kuta 10 kwenye shule ya Watoto 650.

Pima watoto wako ni gifted genius au ugaungaaa?
A
EMS Tanzania hakuna elimu bora ni upuuzi mtupu.

Pumba anazokula mtoto wa kayumba kwa kiswahili ndizo hizo hizo pumba anazokula wa mtoto wa EMS hapa Tanzania hakuna jipya.
 
Back
Top Bottom