English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.

Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?

Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.

Yote kwa faida gani?

- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.

- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.

Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
Ndio wazazi sisi wa mwendo kasi tunataka, Shule Daily ni Homework, mtoto yuko Babyclass homeworl ujinga mtupu.

Shule unakamuliwa ada na baadae tuna unakamuliwa kuambiwa tuition hapo hapo kwenye shule uliolopa ada kubwa sana, yaani Ada haitoshi unakamuliwa tena na anacho pata mtoto hukiokioni.

Kitoto kina miaka 5 kinawekwa shule hadi jioni na kikirudi na Homework,

Hakuna elimu pale ukitoa kuwa Brainwash
 
Utofautii ni mkubwaa mnooo, commitment kwenye public schools ni zeroo kabisaa ni huu umaskini wetu tu lkn hapafai, imagine darasa linawanafunzi 300 nini kinafanyika hapoo. Tusidanganyaneee public wanaambiwa waandike notes tu.
Huo utofauti unaupimaje? hebu tupe vipimo vya hio Commitment, zile sanaa za kuwatengenezea watoto matokeo ndio commitment?
 
Tatizo umejifungia.serikali haiwezi kuajiri watu wote.Kujua lugha ya kiingereza inampa fursa kubwa mwanafunzi kuanzia kibiashara au hata kisiasa.lugha ya kimataifa utaenda Nchi yeyote na ikawa rahisi kwako kunufaika tofauti na wewe na kiswahili chako labda ujikite kuwa chawa hapa nyumbani ili upate teuzi tofauti na hapo soko la ajira litakuwa linakupita tu
wangapi wamefanya hivyo na hizo English? Wale wote wanao start Biashara Pale kariakoo ni wa kawaida tu wametoka vijijini huko. English ya English medium ikufanye ufanye biashara za kimataifa? acha mzaha
 
Kila mtu Yuko huru kusomesha anakopna kunafaa.kuna mwingine atapeleka international,medium mwingine hizo zenu za kayumba ambazo vibaka wengi hutokea huko
English medium sizipinhi kwa sababu ya gharama zake hapna ni utapeli mkubwa ulioko pale, hiwezi kuta huo utapeli kule International School. Napingana na utapeli
 
Nasomesha Englisha Medoum ila ukweli ni kwamba sijawaji zikubali hizi shule, Shule zimejaa janja janja nyingi sana kuliko kutoa elimu ni full hadaa na wanajua fika kucheza na akili za wazazi wajinga

Sijawaji amini kwamba kuna elimu bora kwenye shule za English medoum, kuna elimu ya kawaida sana na tofauti yake na shiule za Serikali mimi sioni kabisa ukitoa sisi kuwa Barainwashed.

Niliwahi sema humu Baadhi ya hizi shule huwa hazina mtoto wa mwisho yaani kama Darasa lina wanafunzi 40 huwezi ona mtoto wa 40, wanaishia namba 10 na na wanadaia wamefungana. Namba 1 unaweza kuta watoto 10 huu mchezo wazazi hawajaushitukia.

Ukiondoa kupanda Mabasi asubuhi hakuna kingine ambacho nakiona kwa hizi shule. Wengi wanapondea shule za Serikali kwenda na Mifahia na vidumu vya maji ila ni sehemu ya kufundisha watoto na sio adhabu. Ni wazazi wajinga ndio wanao na mtoto kubeba fahioa kwrnda nao shule ni adhabu au ushamba.

Watoro wanakuwa legelege sana, mtoto wa shule ya Serikali anaweza panda Daladala na akenda shule mwenyewe umbali wa km 15 hapa ni mtoto mdogo darasa la 3, hii mtoto wa English medium hawezi, ni sawa na kuku wa Broiler tu. Matoto yanakuwa legelege tu.Basi la shule likiharibika hakuna kwenda shule.

English medium zimejaa janja janja sana, kuanzia kutoa elimu na hadi michango yao ya kihuni. Hakuna Englisha ya maana inafundishwa pale,watoto wanatoka pale wako kawaida sana hakuna maajabu pale.

Kucheza na akili za Wazazi na ziara zao za kwenda vijwana vya ndege kupigisha watoto picha kule ni full ujinga.Wanakuambia ziara za mafunzo, mtoto yuko Baby class anatakiwa atoe sh 50,000 ya ziara ya mafunzo.

Unatoa 50,000/ wanawanunulia watoto chips kavu, biskut na juice za azam, hapo 50,000/ imakata na ni ziara ya ndani ya mkoa. Mtoto anarudi nyumbani full njaaa ukiuliza mtoto anakuambia walitupatia juice, chips na biscut tu.
Nasikia akili za mtoto hutegemea pia uwezo kiakili wa Mzazi.
Wanasema kama ukijina ulikuwa vizuri, itakuwa ni faida sana ukimpeleka kwenye shule nzuri, ila eti kama kiakili ulikuwa ni maamuma na mbumbumbu mzungu wa reli, basi usipoteze hela zako kumpeleka mtoto huko, hakuna English Media itakayomsaidia eti kule hawatengenezi akili na kuwamiminia watoto vichwani bali wanapandia kwenye msingi wa mtoto aliozaliwa nao.
 
Sikiliza swala sio uwezo, swala ni hakuna kitu pale, swala sio uwezo mimi nalipaga ada ya mwaka mzima, ila hakuna maajabu pale.
Swala ❌ suala ✅ English Medoum ❌ English Medium ✅ .. mimi nadhani wewe ni mzazi kilaza ambaye hata ukimpeleka mtoto English Medium anaweza asifanye vizuri kwasababu akirudi nyumbani anakutana na mzazi ambaye hata kuandika kiswahili ni shida.
 
Hao hawajui wanacho ongelea neendeni vkjijini mjionee hizo shule zakayumba, shule ya watoto 800 ina waalimu watatu matundu ya choo mawili madawati ni tofari za majengo very poor learning environment kama kweli una huruma na mwanao mtafutie shule ya private.
Ni kama vile wanajaribu kutwambia kwamba kwingine koote kwenye public sector watumishi ni wabaya kasoro kwenye elimu tu😀
 
English medium sizipinhi kwa sababu ya gharama zake hapna ni utapeli mkubwa ulioko pale, hiwezi kuta huo utapeli kule International School. Napingana na utapeli
Kila sehemu mapungufu hayawezi kukosekana ukizingatia Kila Nchi inatamaduni zake lakini huko kayumba ni matatizo lukuki kuliko international na English medium.mfano ulishaona mtoto wa mwanasiasa yeyote kuanzia mkuu wa wilaya,mkoa,katibu tawala,mkurugenzi,waziri na rais anasoma kayumba?Hao ndiyo utajua kuko hakuna kitu.
 
Nasikia akili za mtoto hutegemea pia uwezo kiakili wa Mzazi.
Wanasema kama ukijina ulikuwa vizuri, itakuwa ni faida sana ukimpeleka kwenye shule nzuri, ila eti kama kiakili ulikuwa ni maamuma na mbumbumbu mzungu wa reli, basi usipoteze hela zako kumpeleka mtoto huko, hakuna English Media itakayomsaidia eti kule hawatengenezi akili na kuwamiminia watoto vichwani bali wanapandia kwenye msingi wa mtoto aliozaliwa nao.
Hiyo inachangia lakini na mazingira ya mtoto huchangia zaidi kuwa na uwezo kimasomo au kimaisha Kwa ujumla.
 
Nasomesha Englisha Medoum ila ukweli ni kwamba sijawaji zikubali hizi shule, Shule zimejaa janja janja nyingi sana kuliko kutoa elimu ni full hadaa na wanajua fika kucheza na akili za wazazi wajinga

Sijawaji amini kwamba kuna elimu bora kwenye shule za English medoum, kuna elimu ya kawaida sana na tofauti yake na shiule za Serikali mimi sioni kabisa ukitoa sisi kuwa Barainwashed.

Niliwahi sema humu Baadhi ya hizi shule huwa hazina mtoto wa mwisho yaani kama Darasa lina wanafunzi 40 huwezi ona mtoto wa 40, wanaishia namba 10 na na wanadaia wamefungana. Namba 1 unaweza kuta watoto 10 huu mchezo wazazi hawajaushitukia.

Ukiondoa kupanda Mabasi asubuhi hakuna kingine ambacho nakiona kwa hizi shule. Wengi wanapondea shule za Serikali kwenda na Mifahia na vidumu vya maji ila ni sehemu ya kufundisha watoto na sio adhabu. Ni wazazi wajinga ndio wanao na mtoto kubeba fahioa kwrnda nao shule ni adhabu au ushamba.

Watoro wanakuwa legelege sana, mtoto wa shule ya Serikali anaweza panda Daladala na akenda shule mwenyewe umbali wa km 15 hapa ni mtoto mdogo darasa la 3, hii mtoto wa English medium hawezi, ni sawa na kuku wa Broiler tu. Matoto yanakuwa legelege tu.Basi la shule likiharibika hakuna kwenda shule.

English medium zimejaa janja janja sana, kuanzia kutoa elimu na hadi michango yao ya kihuni. Hakuna Englisha ya maana inafundishwa pale,watoto wanatoka pale wako kawaida sana hakuna maajabu pale.

Kucheza na akili za Wazazi na ziara zao za kwenda vijwana vya ndege kupigisha watoto picha kule ni full ujinga.Wanakuambia ziara za mafunzo, mtoto yuko Baby class anatakiwa atoe sh 50,000 ya ziara ya mafunzo.

Unatoa 50,000/ wanawanunulia watoto chips kavu, biskut na juice za azam, hapo 50,000/ imakata na ni ziara ya ndani ya mkoa. Mtoto anarudi nyumbani full njaaa ukiuliza mtoto anakuambia walitupatia juice, chips na biscut tu.
Mkuu, kutibiwa Kairuki au Mwananyamala hospital, wapi kuna huduma nzuri? Kwanini?
 
Nasomesha Englisha Medoum ila ukweli ni kwamba sijawaji zikubali hizi shule, Shule zimejaa janja janja nyingi sana kuliko kutoa elimu ni full hadaa na wanajua fika kucheza na akili za wazazi wajinga

Sijawaji amini kwamba kuna elimu bora kwenye shule za English medoum, kuna elimu ya kawaida sana na tofauti yake na shiule za Serikali mimi sioni kabisa ukitoa sisi kuwa Barainwashed.

Niliwahi sema humu Baadhi ya hizi shule huwa hazina mtoto wa mwisho yaani kama Darasa lina wanafunzi 40 huwezi ona mtoto wa 40, wanaishia namba 10 na na wanadaia wamefungana. Namba 1 unaweza kuta watoto 10 huu mchezo wazazi hawajaushitukia.

Ukiondoa kupanda Mabasi asubuhi hakuna kingine ambacho nakiona kwa hizi shule. Wengi wanapondea shule za Serikali kwenda na Mifahia na vidumu vya maji ila ni sehemu ya kufundisha watoto na sio adhabu. Ni wazazi wajinga ndio wanao na mtoto kubeba fahioa kwrnda nao shule ni adhabu au ushamba.

Watoro wanakuwa legelege sana, mtoto wa shule ya Serikali anaweza panda Daladala na akenda shule mwenyewe umbali wa km 15 hapa ni mtoto mdogo darasa la 3, hii mtoto wa English medium hawezi, ni sawa na kuku wa Broiler tu. Matoto yanakuwa legelege tu.Basi la shule likiharibika hakuna kwenda shule.

English medium zimejaa janja janja sana, kuanzia kutoa elimu na hadi michango yao ya kihuni. Hakuna Englisha ya maana inafundishwa pale,watoto wanatoka pale wako kawaida sana hakuna maajabu pale.

Kucheza na akili za Wazazi na ziara zao za kwenda vijwana vya ndege kupigisha watoto picha kule ni full ujinga.Wanakuambia ziara za mafunzo, mtoto yuko Baby class anatakiwa atoe sh 50,000 ya ziara ya mafunzo.

Unatoa 50,000/ wanawanunulia watoto chips kavu, biskut na juice za azam, hapo 50,000/ imakata na ni ziara ya ndani ya mkoa. Mtoto anarudi nyumbani full njaaa ukiuliza mtoto anakuambia walitupatia juice, chips na biscut tu.
Mkuu elimu yetu imetanzika sana. Yaani pa kukimbilia hakuna.
 
wangapi wamefanya hivyo na hizo English? Wale wote wanao start Biashara Pale kariakoo ni wa kawaida tu wametoka vijijini huko. English ya English medium ikufanye ufanye biashara za kimataifa? acha mzaha
Watu wanaleta utani humu.

EMS zimegeuka dini/imani kwa wazazi hivyo mabaya yake wengi hawayaoni ila ukweli ni kwamba pale elimu hamna.
 
Back
Top Bottom