Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Wanauwezo Wa Kunidhuru..?Huwezi kuwaamrisha kama wamekuja wenyewe kwa kufuata harufu
[emoji38] [emoji38] asumani jicho mojaMtu akiamua kukufanyia ubaya anaweza kuwa demu wako, ama mwanaume uliyempokonya demu wake.. Uhanithi huja unapotaka kushiriki unyumba... Asumani jicho moja anashindwa kabisa kusimama kama kangaroo... Ni jambo la kishirikina lisilo na tiba ya kisasa
Sababu gan?.Nikikuta duka linanukia ubani/udi huwa sirudi kununua kitu kwenye duka hilo
Haina shida kabisa. Tena mimi ni mtaalam wa kuhakiki naomba mwaliko kwenye hiloMshana Jr, wanawake wa pwani tunapenda kufukiza UDI special mm, napenda SNA kufukiza UDI alafu naukalia au nachuchumaa ile harufu inapenya kwenye uke huwa napenda SNA. Huwa nanukia vzr huku chini tena hata nikilala na bby anaweza zama chumvini yaan hasikii hata harufu ya mkojo wala kunuka uchi.
Je Niko sawa au itaniletea shida baadae maana nafanya kwa urembo tu wala cjui kama kuna madhara yoyote
Hahahah ninavyo kuogopa ww baba, usije usiku ukanijia na ungo bureeeeHaina shida kabisa. Tena mimi ni mtaalam wa kuhakiki naomba mwaliko kwenye hilo
Wanawake si mnapenda kunukiaKwanini wavuta bangi sikuizi tukiwa tunazichoma tunajiwashia na udi huu mkumbo hadi mimi umenipitia lakn sioni mantiki yake
Na mimi nawatwanga tu sio kinyongeUkienda nao tofauti unachezea vitasa
Au na mi ninao? Maana nilimpa mwanamke mmoja lift akiwa ameombewa na mtu ninayemheshimu. Tulitembea takribani km 33. Kwanza nililazimika kuzima AC na kufungua vioo lakini bado harufu ilinisumbua sana na baadae kumuomba mama ashuke. Maana tayari kichwa kilikuwa kinauma. Ma kawaida kweli sipendi harufu ya udi ila ubani unaowashwa kwa ajili ya kusoma dua haunisumbui. Je, ninaweza kuwa na matatizo ninayohitaji kushughulikiwa? Ushauri tafadhali. Ndo maana nikasema nilikuta harufu ya udi ndani ya ofisi na mtu alikuwa ameingia ni secretary. Sijawa na amani kwamba labda either hakuwa na nia nzuri kwangu au alikuwa na manuizo yake anayoyajua.Ana wapangaji wapangaji huyo mwilini mwake, wasiopatana na udi
Mi ni kinyume chake. Hapo sasa ndo mshana atujuze.Serious?
Mie udi sawa,
Ila ubani hapana huwa napata kizunguzungu.
[emoji6] [emoji6] [emoji6]Ukienda nao tofauti unachezea vitasa