Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

Kama kuna awezaye kunipatia majivu ya MOSHI WA MWENGE kisha yakifanyiwa kazi itatokea zaidi ya MAPINDUZI
 
Tukiacha hayo yote ya mshana jr mbona nasikiaga pia kuna Udi unaotumika kama tu Air Fresh yani haina maana yoyote kati ya hizo za mshana hapo...Unakuta hata mwanamke ukimptia ana kiarufu flani kizuriiiii..sasa mi nataka kujua Ni kweli Udi zote hutumika kwa kazi hyo ya mshana?? Hamna mtu anaetumia udi kwa aim ya Air fresh tu?? yani hajui hata kazi ya udi anachojua yeye n kuleta tu harufu nzuri,na nasikia kuna za haruf tofaut nikimaanisha zile flavour..kuna ukwwwweli hapo??
 
Tukiacha hayo yote ya mshana jr mbona nasikiaga pia kuna Udi unaotumika kama tu Air Fresh yani haina maana yoyote kati ya hizo za mshana hapo...Unakuta hata mwanamke ukimptia ana kiarufu flani kizuriiiii..sasa mi nataka kujua Ni kweli Udi zote hutumika kwa kazi hyo ya mshana?? Hamna mtu anaetumia udi kwa aim ya Air fresh tu?? yani hajui hata kazi ya udi anachojua yeye n kuleta tu harufu nzuri,na nasikia kuna za haruf tofaut nikimaanisha zile flavour..kuna ukwwwweli hapo??
Uko sahihi kabisa kwa mtazamo wa dunia inayoonekana
 
e289c28196f7677d3eac67771aabc6fb--the-dark-side-black-magic.jpg
 
Mshana nimekua nikiona UDI ukitumiwa na wavuta bangi hii imekaaje? Na pia Mimi hua napenda harufu yake sana na nikifukiza siku yangu hua inaenda vizuri sana na hua nanunua hizi za dukani kwa ajili ya sala japo ni mkristo hunifanya nijiskie amani ya roho vipi kuna lolote nisilolitambua hapa?
 
Kama hufanyi manuizi yoyote ni sehemu ya urembo japo kuna roho unazialika naturally ambazo zinapenda uturi.. Kimsingi viumbe roho hao ni majini wapole wasio na bughudha... Na hukusihi kimyakimya utumie mpaka inakuzoea na kuwa hulka yako... Angalia wanawake wa pwani wanavyopenda udi
Mm pia napenda mkuu lkn nashindwa sababu tu yawatu naoishinao ila nikipata uhuru napenda ninukie udi muda wote Kwan kunamadhara yoyote au hizo roho zaweza nidhuru naomba nijuze
 
Mm pia napenda mkuu lkn nashindwa sababu tu yawatu naoishinao ila nikipata uhuru napenda ninukie udi muda wote Kwan kunamadhara yoyote au hizo roho zaweza nidhuru naomba nijuze
Hakuna shida kabisa
 
Mshana nimekua nikiona UDI ukitumiwa na wavuta bangi hii imekaaje? Na pia Mimi hua napenda harufu yake sana na nikifukiza siku yangu hua inaenda vizuri sana na hua nanunua hizi za dukani kwa ajili ya sala japo ni mkristo hunifanya nijiskie amani ya roho vipi kuna lolote nisilolitambua hapa?
Wanatumia kukata harufu
 
Back
Top Bottom