Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

chumbani kwangu UDI ni mahala pake... Ila cha ajabu niliingia Na mpenz akasema ooh harufu inampa kizunguzungu, Mara anajihis kuzimia Mara ooh anajihis kubanwa pumzi.... Ikabidi aondoke, MSAADA TAFADHALI mana mi natumiaga tu sijui zina athari kwa wengine
 
chumbani kwangu UDI ni mahala pake... Ila cha ajabu niliingia Na mpenz akasema ooh harufu inampa kizunguzungu, Mara anajihis kuzimia Mara ooh anajihis kubanwa pumzi.... Ikabidi aondoke, MSAADA TAFADHALI mana mi natumiaga tu sijui zina athari kwa wengine
Ana wapangaji wapangaji huyo mwilini mwake, wasiopatana na udi
 
.
25.jpg
 
Hizi udi zengine ni kwa ajili tu ya harufu mzur ktk nguo au chumba mbona hujazigusia mkuu ??
 
Mmh itakua mm kichwa ngumu bado sjakusoma kabisa umemanisha nini hemu naomba unifafanulie kidg
Udi usio na harufu ni sawa na makapi tuu... Harufu ile ndani ya yale makapi ikichomwa na kutoa moshi, moshi ule wenye harufu ndio huvutia nguvu za giza kusogea moshi uliko
 
Back
Top Bottom