[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]😀😀😀😀😀.
Wala isikutishe.
Ni katika kupotezea MNUKO wa MMEA.
Kwahiyo MOSHI wa MMEA ukichanganyika na MOSHI wa UDI, inakuwa umekata/umepunguza MAKALI.
Sikutegemea kabisa kukutana na BANDIKO kama hili la kwako.
Kwa kweli Umezama sana.
Baab kubwa
Aisee sipendi harufu ya Udi kuna dada nilikaa nae basi moja nilipata shida sana ile harufu ilibidi nihame sitiKama hufanyi manuizi yoyote ni sehemu ya urembo japo kuna roho unazialika naturally ambazo zinapenda uturi.. Kimsingi viumbe roho hao ni majini wapole wasio na bughudha... Na hukusihi kimyakimya utumie mpaka inakuzoea na kuwa hulka yako... Angalia wanawake wa pwani wanavyopenda udi
Sio kweli kuna perfume zingine concentration yake kali sana inaumiza pua .Hiyo hali sio ya kawaida mkuu una mashetani wabaya waone wataalamu
Sasa mshana unasema moshi husogeza nguvu xa giza karibu .Udi usio na harufu ni sawa na makapi tuu... Harufu ile ndani ya yale makapi ikichomwa na kutoa moshi, moshi ule wenye harufu ndio huvutia nguvu za giza kusogea moshi uliko
Unawavutia majini na mapepo kukaa kwenye viungo vyako hivyo maana hizo sehemu zenu wanawake ndio makazi yaoMshana Jr, wanawake wa pwani tunapenda kufukiza UDI special mm, napenda SNA kufukiza UDI alafu naukalia au nachuchumaa ile harufu inapenya kwenye uke huwa napenda SNA. Huwa nanukia vzr huku chini tena hata nikilala na bby anaweza zama chumvini yaan hasikii hata harufu ya mkojo wala kunuka uchi.
Je Niko sawa au itaniletea shida baadae maana nafanya kwa urembo tu wala cjui kama kuna madhara yoyote
Hapana hamko safe kwakuwa viashiria na vyanzo ni vingiSasa mshana unasema moshi husogeza nguvu xa giza karibu .
Vipi kwa sisi tusiopenda kabisa udi je si tuko salama zaidi kuliko wale wanaochoma huo udi kila wakati .
Binafsi harufu ya UBANI naipenda sana yaani church nakaa karibu sana ili niipate ile harufu vizuri lakinj UDI asalalehh nakereka aisee
Wanawake wanaochoma Udi hawanivutii huwa nawaona wana majinj au washirikina tu
Nadhani hili bandiko limeshajibu kiu yako hebu soma tenaMkuu Mshana habari ya siku kiongozi nilipata kuona bandiko lako moja ulikua unazungumzia nyumba uliyopanga kulikua na mama mchawi ili kuthibitisha ukawasha udi yule mama alikufuata akakuambia unataka uniue kama sijasahu nadhani vipi unaweza kuelezea hii kitu ya udi na uchawi inamaana haviendani au inakuaje
Yeah limejibu baadhi kiongoziNadhani hili bandiko limeshajibu kiu yako hebu soma tena
Ulifanya manuizi yoyote au ulichoma tu mkuu bila kufanya manuizi na kama ulifanya manuizi uliamrisha nguvu gani isiyoonekana kwamaana kuna sehemu umesema huwezi kuwaamrisha kwamaana wamefuata harufu tuWapi bado panatatiza
Hapana sikufanya chochote... Nilichoma kwa nia ya kupata harufu tuuUlifanya manuizi yoyote au ulichoma tu mkuu bila kufanya manuizi na kama ulifanya manuizi uliamrisha nguvu gani isiyoonekana kwamaana kuna sehemu umesema huwezi kuwaamrisha kwamaana wamefuata harufu tu
Uko mzima kakaake?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] njoo kilingeni msata kesho usiku
AlhamdullilahMiamia vp mguu?
Sawa Sawa kiongoziInshallah fanya next week tuonane