Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Kwani ndugu zangu ninyi mnahisi nini mchezaji kuitwa timu taifa?
Je mmejiuliza nyota waliepo kwenye kikosi chao?
Kwahyo kuitwa timu ya taifa ni kitu chakushangiliwa kwa kiasi hicho? Achen ushamba bwana
 
Sasa tukizungumza kispoti Max naye ni mchezaji wa kumhesabia?

Ana mbio gani kwanza, mbona hizo mbio unazozitja sijawahi kumuona nazo?

Lomalisa watasingizia majeruhi ila naye hawezi kupata nafasi kwenye national team ya Congo.

Ni mchezaji wa kawaida sema amekuwa na upepo tu wa hapa na pale.
Sasa waliwapigaje TANO?
 
Sasa tukizungumza kispoti Max naye ni mchezaji wa kumhesabia?

Ana mbio gani kwanza, mbona hizo mbio unazozitja sijawahi kumuona nazo?

Lomalisa watasingizia majeruhi ila naye hawezi kupata nafasi kwenye national team ya Congo.

Ni mchezaji wa kawaida sema amekuwa na upepo tu wa hapa na pale.
Lomalisa alikuwa mchezaji wa kutegemewa DR Congo walipochukua kombe la Chan 2016.
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Huu uzi umeanzishwa kishabiki sana na wanao comment wanaendelea ku comment kishabiki na chuki za wazi wazi juu ya timu pinzani.

Simba haijasaijili wachezaji wa kimataifa? Je wote wameitwa timu zao za taifa? Kwani Simba ina mchezaji mmoja tu kutoka Congo? Ngoma kaitwa timu ya taifa ya Congo? Mbona hamjaanzisha uzi kuongelea kuachwa kwa Ngoma na wachezaji wenu? Mmekuja kuzungumzia wachezaji wasiowahusu kama vile nyie timu yenu mchezaji ni Inonga peke yake.

Kumbe wachezaji wa Yanga huwapa maumivu makali sana mioyoni mwenu.
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Yeah dogo Ana ujinga flani ivi kichwani. Ila ni good
player
 
Back
Top Bottom