Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli ,Moroko na joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
Muwe mnatumia akili kuokoteza vijipoint ambavyo avina maana, mnafurahia inonga kuitwa timu ya Kongo mbona yanga ndio timu iliyotoa wachezaji wengi timu za taifa na imetulia tu? Labda niwataje na wewe ututajie wachezaji wa Simba walioitwa nje;
Diarra-Mali
Aucho-Uganda
Aziz ki-burkinafaso
Pacome-Ivory coast
Musonda-Zambia

Hapo atujaweka timu ya Taifa ya Tanzania, Sasa tutajie na wachezaji wa Simba walioitwa timu za taifa nje ya nchi!
 
Muwe mnatumia akili kuokoteza vijipoint ambavyo avina maana, mnafurahia inonga kuitwa timu ya Kongo mbona yanga ndio timu iliyotoa wachezaji wengi timu za taifa na imetulia tu? Labda niwataje na wewe ututajie wachezaji wa Simba walioitwa nje;
Diarra-Mali
Aucho-Uganda
Aziz ki-burkinafaso
Pacome-Ivory coast
Musonda-Zambia

Hapo atujaweka timu ya Taifa ya Tanzania, Sasa tutajie na wachezaji wa Simba walioitwa timu za taifa nje ya nchi!
timu ndogo hua zinapenda mambo madogo
 
Hiyo timu ya DRC Congo itapoanza kubugizwa magoli msisite kutupatia taarifa
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Sina cha kuongeza, umemaliza kila kitu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kwani ndugu zangu ninyi mnahisi nini mchezaji kuitwa timu taifa?
Je mmejiuliza nyota waliepo kwenye kikosi chao?
Kwahyo kuitwa timu ya taifa ni kitu chakushangiliwa kwa kiasi hicho? Achen ushamba bwana
Imekuuma.
 
Muwe mnatumia akili kuokoteza vijipoint ambavyo avina maana, mnafurahia inonga kuitwa timu ya Kongo mbona yanga ndio timu iliyotoa wachezaji wengi timu za taifa na imetulia tu? Labda niwataje na wewe ututajie wachezaji wa Simba walioitwa nje;
Diarra-Mali
Aucho-Uganda
Aziz ki-burkinafaso
Pacome-Ivory coast
Musonda-Zambia

Hapo atujaweka timu ya Taifa ya Tanzania, Sasa tutajie na wachezaji wa Simba walioitwa timu za taifa nje ya nchi!
Ivory coast hawajatoa majina rasmi,hiyo takataka yako haiwezi pata namba pale
 
Back
Top Bottom