Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hapo Yanga Sc kuna kombe gani ambalo Simba Sc haina? Hizo habari za makombe hazitakiwi kuwa mjadala tena.Najua Inongwa ameleta makombe Korokoroni sivyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Yanga Sc kuna kombe gani ambalo Simba Sc haina? Hizo habari za makombe hazitakiwi kuwa mjadala tena.Najua Inongwa ameleta makombe Korokoroni sivyo!
Cc EymaelCc Aden Rage.
Si mnasemaga lile sio kombeMsimu huu umesahau ngao ya jamii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2855612
Hakuna maajabu yoyote kwenye swala la team kubwa kufungwa na team ndogo, ni wasiojua mpira pekee ndio ambao watalibebelea hilo kama maajabu. Hata hivyo, kama wapo watu wa aina hiyo (wasiojua mpira) ninawashauri wajikite kwenye sekta nyingine kama vile udaku.
Alafu anatwanga dk 90Alafu zikiwekwa utafanya nini?
Ila kwakuwa wewe akili huna hata sofascore hupajui ngoja tukuwekee 4 badala ya 3 ulizoomba kiazi wa utopoloni wewe,
Hiyo 1 nakuongeza kama kifungashio mbumbumbu weweView attachment 2855488View attachment 2855489View attachment 2855490View attachment 2855491
Unapenda sana kuumiaUmeumia sana pole
Mbumbumbu ni nyie, mechi official achana na hayo mabonanzaAlafu zikiwekwa utafanya nini?
Ila kwakuwa wewe akili huna hata sofascore hupajui ngoja tukuwekee 4 badala ya 3 ulizoomba kiazi wa utopoloni wewe,
Hiyo 1 nakuongeza kama kifungashio mbumbumbu weweView attachment 2855488View attachment 2855489View attachment 2855490View attachment 2855491
Kwa maana hiyo unataka kujenga hoja gani hapa🤔Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli, Moroko na Joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
Akirejea 5G iko pale pale kwenye mshono.Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli, Moroko na Joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
Muulize mkeo...Ushawahi kupigwa 5 kitandani?
Wewe angalia qualifications za kombe la dunia mwamba kazima zote pale ,kabla ya kuandika fuatilia ,shule mlienda kusoma nini?una simu?unashindwa vipi kufuatilia vitu vidogo kabla ya kuandika.kwan ndo mara ya kwnza anaitwa ?
shida kucheza uwanjan dakika ya 90 ndo wanamuweka
Asante kwa taarifa tutaifanyia kaziWale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli, Moroko na Joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
Sio kama siwezi matusi ni vile nakuheshimu ila ukitaka tuanze patachafuka humuMwiko ushachekechwa tayari akili zinakuruka,,WORLD CUP QUALIFICATION ni bonanza?
HUNA AKILI
Mkewangu ni weweMuulize mkeo...
Huwez elewa ,left mara mojaNdio umeandika nini hapa?
Siku nyingine acha kualika mwanaume mwenzako ghetoInajulikana tu inonga ataenda kuwa muokotaji mipira......akiingia kucheza njoo geto unidai pesa
Inonga ni "beki haswa" aliyeshindwa kuzuia kono la nyani..!!! Huyo huyo Nzengeli aliwaweka cha pili na cha nne hadi mkatimua kocha..!! Na huyo huyo Nzengeli ndo alimtoka Inonga akaamua kumfyeka ikawa penalt.Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.
Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.
Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.