Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Baka Varane
Ningekua bado umri unaruhusu kuutwanga kama enzi zangu, basi huyu jamaa ndo angekua role model wangu
Ukimtoa Method Mwanjali...Inonga ni bonge moja la beki kuwahi kuutwanga kwenye hii ligi yetu ya bongo
 
View attachment 2855612
Hakuna maajabu yoyote kwenye swala la team kubwa kufungwa na team ndogo, ni wasiojua mpira pekee ndio ambao watalibebelea hilo kama maajabu. Hata hivyo, kama wapo watu wa aina hiyo (wasiojua mpira) ninawashauri wajikite kwenye sekta nyingine kama vile udaku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anaenda kuaanzia bench labda kama DRC watakuwa wamefuzu na game ilobaki haina madhara kabisa.
 
kwan ndo mara ya kwnza anaitwa ?
shida kucheza uwanjan dakika ya 90 ndo wanamuweka
Wewe angalia qualifications za kombe la dunia mwamba kazima zote pale ,kabla ya kuandika fuatilia ,shule mlienda kusoma nini?una simu?unashindwa vipi kufuatilia vitu vidogo kabla ya kuandika.
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Inonga ni "beki haswa" aliyeshindwa kuzuia kono la nyani..!!! Huyo huyo Nzengeli aliwaweka cha pili na cha nne hadi mkatimua kocha..!! Na huyo huyo Nzengeli ndo alimtoka Inonga akaamua kumfyeka ikawa penalt.
 
Back
Top Bottom