Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Lomalisa alikuwa mchezaji wa kutegemewa DR Congo walipochukua kombe la Chan 2016.
Unajua maana ya CHAN lakini?si ni vishindano ambavyo wanacheza wachezaji wanaojitafuta au wanaelekea kustaafu wamejirudisha home [emoji23][emoji23][emoji23] kama kina nyosso,shaban nditi
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Najua Inongwa ameleta makombe Korokoroni sivyo!
 
Ivory coast hawajatoa majina rasmi,hiyo takataka yako haiwezi pata namba pale
Ndo utulize makalio Sasa, nimekwambia leta list ya wachezaji wa simba walioitwa timu zao za taifa hapa ili mshangilie vizuri kuitwa kwa inonga!
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Umesema kweli kaka na laiti inonga angekuwepo kwenye ile mechi ya derby tusingefungwa 5 na YANGA
 
Okrah alimfunga Diarra lakini haikufanya mashabiki wa Simba waridhike na kiwango chake.

Wakati sisi tunajikita kum rate mchezaji kwa consistency performance, wenzetu mnam-praise mchezaji kwa kuifunga Simba.

Hiyo ndio tofauti ya maturity ya kisoka kati ya nyie na sisi.
Max hafanani na okra kwasababu huyo max alitufunga mbili sasa hapo dada tunawafananishaje watu hawa?
 
Limalisa ana kombe na medali ya gold ya Africa .
Baka Hana chochote Mpaka sasahivi .

Percy Tau mwenyewe anamuheshimu lomalisa .
 

Attachments

  • A82E50F5-9D58-49E6-A78B-710F7FDAD304.jpeg
    A82E50F5-9D58-49E6-A78B-710F7FDAD304.jpeg
    78.8 KB · Views: 1
Umesema kweli kaka na laiti inonga angekuwepo kwenye ile mechi ya derby tusingefungwa 5 na YANGA
IMG_20231225_080449.jpg

Hakuna maajabu yoyote kwenye swala la team kubwa kufungwa na team ndogo, ni wasiojua mpira pekee ndio ambao watalibebelea hilo kama maajabu. Hata hivyo, kama wapo watu wa aina hiyo (wasiojua mpira) ninawashauri wajikite kwenye sekta nyingine kama vile udaku.
 
Back
Top Bottom