Wakibisha hao ni vyura..View attachment 2854943
Ni kawaida sana team kubwa kufungwa na team ndogo, Simba Sc kama Bayern tu.
Nchi zinatofautiana vipaji,,
DRC Wana straikers wengi kuliko mabeki.
Fuatilia
Sasa waliwapigaje TANO?Sasa tukizungumza kispoti Max naye ni mchezaji wa kumhesabia?
Ana mbio gani kwanza, mbona hizo mbio unazozitja sijawahi kumuona nazo?
Lomalisa watasingizia majeruhi ila naye hawezi kupata nafasi kwenye national team ya Congo.
Ni mchezaji wa kawaida sema amekuwa na upepo tu wa hapa na pale.
Utajitekenya sanaView attachment 2854943
Ni kawaida sana team kubwa kufungwa na team ndogo, Simba Sc kama Bayern tu.
Utajitekenya sana
Lomalisa alikuwa mchezaji wa kutegemewa DR Congo walipochukua kombe la Chan 2016.Sasa tukizungumza kispoti Max naye ni mchezaji wa kumhesabia?
Ana mbio gani kwanza, mbona hizo mbio unazozitja sijawahi kumuona nazo?
Lomalisa watasingizia majeruhi ila naye hawezi kupata nafasi kwenye national team ya Congo.
Ni mchezaji wa kawaida sema amekuwa na upepo tu wa hapa na pale.
Huu uzi umeanzishwa kishabiki sana na wanao comment wanaendelea ku comment kishabiki na chuki za wazi wazi juu ya timu pinzani.Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.
Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.
Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Yeah dogo Ana ujinga flani ivi kichwani. Ila ni goodUkiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.
Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.
Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.